Recent content by Jfrank

  1. Jfrank

    Nina uhitaji wa pesa 25,000 au zaidi naomba kazi yenye thamani ya pesa hiyo au zaidi niifanye

    Weka namba kiongozi,, watu wa humu hawana roho mbaya,, washayapitia na wanayajua mazingira Kama ya kwako!! 25,000 unayoomba wewe mtu mwingine humu hiyo ni hela ya vocha kwake so kukutumia haoni Kama inaweza mpunguzia chochote kwake. Inshallah utafanikiwa!!
  2. Jfrank

    Kozi ya udereva

    Wadau ningependa kuuliza, Kwa mtu ambae hajawahi kusoma kozi yoyote ya udereva, na kwasasa anataka akaisome ila apate leseni class C, kuna uwezekano wa kwenda Veta na kusomea udereva class C na ukapata leseni ya class C mara baada ya kuhitimu mafunzo?
  3. Jfrank

    Natafuta kazi/kibarua

    Hallo,, bado tupo na mapambano!!!
  4. Jfrank

    Natafuta kazi/kibarua

    Habari wana jamii, bado niko na huu uzi wngu,, naomben sana msaada wenu kwa mwenye A B C kuhusiana na huu uzi
  5. Jfrank

    Nafasi za kazi leo tarehe 28/08/18

    Ulivotuma CV uliambatanisha na application letter? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Jfrank

    Nafasi za kazi leo tarehe 28/08/18

    Ulivotuma CV uliambatanisha na application letter? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Jfrank

    Nafasi za kazi leo tarehe 28/08/18

    Ulivotuma CV uliambatanisha na application letter? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Jfrank

    Natafuta kazi/kibarua

    Dah, yaani huyu jamaa kweli kakomaa kuwa mi mwizi, haya kweli maajabu! nimeshindwa kabisa kuelewa dhamira ya huyu bwana. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Jfrank

    Natafuta kazi/kibarua

    Kwa kuwa umeshindwa thibitisha tuhuma zangu kwa wanafamilia wa JF wewe ni wa kupuuza kabisa,, na nakuomba jitahidi kuachana na hiyo tabia mkuu si nzuri machoni mwa watu japo kwako waiona sawa. Na nakwambia hakika ningekuwa jinsi unavonisema ivo nisingepata watetezi kabisa mkuu,, penye ukweli...
  10. Jfrank

    Natafuta kazi/kibarua

    Mkuu sijajua kabisa ni nini unakitaka juu yangu, ebu jaribu kuwa wazi. na kama una evidence za kuwa mi jizi tapeli plz wathibitishie wanajamii.. unaweza nielezea kdg ni vp wanifaham na utapeli wangu.. ebu acha kuvisha watu CV zisizo za kwao. Ustaarabu hauuzwi dukani mkuu. Sent using Jamii...
  11. Jfrank

    Natafuta kazi/kibarua

    Is this sure brother,, Kama uko serious plz naomba contact na ww mkuu,, sichagui kazi ilhal tu ni ya halali
  12. Jfrank

    Natafuta kazi/kibarua

    Is this sure brother,, Kama uko serious plz naomba contact na ww mkuu,, sichagui kazi ilhal tu ni ya halali
  13. Jfrank

    Natafuta kazi/kibarua

    Mkuu humu ndani kuna watu na ofisi zao,, by imposing yourself pamoja na kuwepa kipande kidogo cha CV wanaweza kuvutiwa nayo na kukucontact,,, izo internships unazozisema twaziona na pia tunazifanyia kazi kwa kutuma application. Siku mambo yakijipa hutokuja ona sura zetu humu tukiomba kazi. We...
  14. Jfrank

    PLATNUM CREDIT.

    Asanteni sana kwa ushauri wadau kwani jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza,, nilikuwa gizani [emoji120]
  15. Jfrank

    PLATNUM CREDIT.

    Mkuu walitangaza nafasi ya KAZI sales officer,, elimu form four,, tangazo halijaandika deadline,,,,
Back
Top Bottom