Recent content by JFK senior

  1. J

    Mimi naomba Ushauri Bibi Yangu yupo na watoto 09 wote are Mutured hila wanashindwa kumlipia bill zake zote.

    Hivi bibi yake si mzazi wa mzazi wake? Huu ujumbe mahala pake ni kwa aliowapelekea kule TMK
  2. J

    Haya ni makundi ambayo hayataingia kwenye ufalme wa Mungu: Jitazame wewe uko wapi?

    Ndo na mi mestuka hapo aliposema wanajeshi,nikaona tu niachane nae,maana ata nchi ya ahadi ilipatikana kwa mapigano
  3. J

    Wizara ya Afya haipaswi kuongozwa na Madaktari

    Mkuu izo nafasi ulizozitaja karibu zote hupatikana kwa promotion,sidhani kama kuna mtu huwa anaajiriwa moja kwa moja kama DMO and so on, Pia izo kada zingine zina nafasi zao kweny level hizo hizo za kimkoa,kiwilaya pia kwa kituo husika,unapendekeza zifutwe au ziweje maana hutaki kuwe na mganga...
  4. J

    Manyoni : TZS 3.5BL za Rais Samia kujenga shule ya "Singida Girls"

    Sasa kwanini kuwe na mkutano wa bajeti wa bunge,na ndo unatumia pesa nyingi sana kama posho kwa wabunge,alafu kuna mtu pekee anaweza kuamua matumizi atakavyo Alafu kuna mafungu kibao wizara haiyapati mpaka mwaka wa fedha unaisha. Hakuna haja ya kuset priorities na kuziweka kweny bajeti.
  5. J

    Manyoni : TZS 3.5BL za Rais Samia kujenga shule ya "Singida Girls"

    Sijui kwanini ujinga haukua mali alafu mkajaliwa kwa kiasi kikubwa hivi
  6. J

    Manyoni : TZS 3.5BL za Rais Samia kujenga shule ya "Singida Girls"

    Ko na yeye ameanza kufanya mamb kwa kujiamulia bila ya kufuata bajeti iliopitishwa na bunge??
  7. J

    Waziri Gwajima: Tanzania maambukizi yafikia watu 47 toka 14 kwa siku

    Aliteleza waziri,au aliyeandika aliyoyasema waziri ndo kateleza? Au ni marekebisho mwandishi kafanya kutokana na kauli ya waziri
  8. J

    Kama Bulembo anaweza kumdhaliisha Polepole, upi usalama wa waliounga juhudi mkono wakateuliwa nafasi mbalimbali?

    Polisi gani unaongelea hapa? Wale wale waliomwambia Mbowe hawezi mshinda mgombea wa CCM Au kuna wengine wasio chini ya Zero?
  9. J

    Rais Samia kuvaa sare za Jeshi. Je, kaanza vitisho?

    Sio takwa la kikatiba kuvaa hizo nguo,ivo hakukua na tatizo wao kutovaa wakati wakiwa kweny hiyo nafasi.
  10. J

    Mgogoro na Mgongano ndani ya CCM. Team Samia Vs Team Magufuli

    Huu uzi umeandikwa kimkakati Ila jitihada zimewekwa sana kwenye hili kuliko hitaji letu. Tunawaombea vita kali zaidi
  11. J

    Watanzania wanaolia na tozo ni malimbukeni

    Hapo ndo umejenga hoja?? Mtoto wa mbuzi kweli nae kamba ni yake tu
  12. J

    Kuhusu Katiba Mpya tumeshakwama tujikite kujenga ofisi ya Makao Makuu

    Hivi katiba mpya inakua na nini kitakachobadili haya tunayoyaona hayafai? Hivi ile iliopendekezwa na lile lililoitwa bunge la katiba,mchakato wake ungekamilika ingekua ndo mpya? Nawaza tu kwa uhuru....
  13. J

    Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

    Mimi kama mtanzania haya yananigusa saana...yaani maisha ya watanzania wenzetu yanaweza kupotea kwa manufaa ya watu wengine....hizi basi za New force mwendo wake ni mkali saana barabarani,itafutwe mbinu ya kuzidhibiti.. ......hisia zako siwezi jadili.....
Back
Top Bottom