Recent content by Jett

  1. Jett

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Mkuu kwanza unapaswa uthibitishe pasi na shaka kuwa ndoa nyingi za kiislamu na kikristo hazidumu. Baada ya hapo ndio tujadili kwa nini?
  2. Jett

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Mkubwaa kwanza big up sana, Mungu anipe roho ngumu ya aina yako. Maisha hayahitaji lelemama, na majuto kwa mwanaume mtafutaji huja muda wowote
  3. Jett

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Kuna matukio mengi tu yanafanyika pasipostahiri mkuu, ila ulimwengu wa sasa ndio unayapa trend, kikubwa watu waongelewe kama sisi tunavyoongea hapa
  4. Jett

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Tulia kijana, dunia imehamia kwenye trends, haijalishi ninkwa ubaya au uzuri ila kikubwa watu waongewe
  5. Jett

    JamiiForums Tanzania Isaya Yunge awakwepa Wadangaji lia-lia (wapiga vizinga, njaa kali) Bongo!

    Sio kweli. Sema tu dogo alipata exposure na amepata nafasi ya kuanzisha kizazi kinachojiweza. Hongera kwake
  6. Jett

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Kutengeneza Biblia? Wewe unatakiwa utawaliwe, tena kwa viboko
  7. Jett

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Mnajisifia kupewa mbususu za wake wa wenyewe mkipostiwa na Millad mpo kwenye viroba familia zenu zinalalamika
  8. Jett

    JamiiForums Tanzania Wazazi wote piteni hapa (miaka 20 ya maumivu)

    Sisi tukitengana hasira tunahamishia kwa watoto, si baba yako hivi, si mama yako aliondoka, malezi yetu kivyetuvyetu
  9. Jett

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Ulikua unaagiza malaya wanaojiuza? Hao hawajiuzi ila ukiomba hunyimwi
  10. Jett

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Babati Manyara sio, tutakufuatilia
  11. Jett

    JamiiForums Tanzania Ni laana kulea mtoto wa mwanaume mwenzio anaepumua kwa bondi ya mbunye kutoka kwa mamaake

    umeina ujaribu kututisha labda tutaelewa! Tulia mzee tulipe ada
  12. Jett

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Ndio hivyo
  13. Jett

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Wabongo wakikuambia mji mzuri wanamaanisha kuna watu wengi na vurugu muda wote, hawamaanishi mji uliojengwa kwa mpangilio na usafi
  14. Jett

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Eti hata mmoja
  15. Jett

    JamiiForums Tanzania Usiku wa Bongo Flava umeniharibia maisha

    Anafurahisha kijiwe huyo
Back
Top Bottom