Recent content by Jett

  1. Jett

    JamiiForums Tanzania Nilitolewa kijasho na ntoto wa afu mbili

    Uandishi huu sio wa mnywa gongo
  2. Jett

    JamiiForums Tanzania Kwa dalili zote hizi, bado tu huamini kuwa Yesu Yu karibu kurudi?!

    Arudi tu nae sasa, tushachoka kusikia yuko karibu, yuko karibu, karibu na wapi?
  3. Jett

    JamiiForums Tanzania Heche ndio msaliti wa chadema

    Kila mtu hukomboka pale anapokomboka kifrikra. Hakuna mtu yupo kwa ajili ya kumtetea yeyote, kila mmoja yupo kwa maslahi yake mwenyewe. Siku ukilijua hili utaacha kushabikia watu na kuanza kujipambania mwenyewe. Hakuna mtu yupo kwa ajili ya maslahi yako
  4. Jett

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni kujua , ile miujiza ya mwamposa inafanyakaje kazi na anaitoa wapi?

    Inafanyaje kazi, unaweza kujulishwa. Anaitoa wapi? Utasubiri sana
  5. Jett

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Kuna jamaa tuliwahi kubishana nilimuuliza, unaamini kwamba sisi ngozi nyeusi ni useless duniani ukilinganisha na ngozi nyeupe? Akasema hapana, ninadamu wote ni sawa. Nikamuuliza, unadhani haya madini tunayosema wazungu wanatuibia siku ikitokea wakasema hawayataki tena tubaki nayo sisi...
  6. Jett

    JamiiForums Tanzania Hivi kwani kutongoza/kutongozwa ni kosa kisheria kwa mtu juu ya miaka 18?

    Kama ni kweli amemkabidhi kwa polisi kwa kwababu alimtongoza, basi sio leo wala sio kesho ila ipo siku atalikumbuka hili kama jambo la kijinga alilowahi kulifanya
  7. Jett

    JamiiForums Tanzania Watoto wanajua kuabisha wakuu! 🙌 Mzee mwenzenu nimekumbwa na dipresheni

    Kwa reply hii nimethibitishabkua uzi wako ni chai, ila kuna funzo ndani yake. Mimi ningemuacha amalize kisha palepale mbele ya umma ningemwadhibu kwa viboko vikali sana
  8. Jett

    JamiiForums Tanzania Mahakama: Lissu ana Kesi ya kujibu kutokana na ushahidi wa Jamhuri uliotolewa (Agosti 21, 2026). Amtaja Rais Samia kuwa shahidi wake

    Vijana wana stress sana mkuu, wana-attack bila hata kuelewa
  9. Jett

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapenda 'kupumua' mbele yangu. Ananidharau au ndio mapenzi yenyewe?

    Sijaongelea apumulie puani, nimesema shida ya mtoa mada sio kwanini anapumua, shida yake ni kwanini apumue mbele yake mara nyingi?
  10. Jett

    JamiiForums Tanzania Mahakama: Lissu ana Kesi ya kujibu kutokana na ushahidi wa Jamhuri uliotolewa (Agosti 21, 2026). Amtaja Rais Samia kuwa shahidi wake

    Mkuu punguza stress na gubu. Nilichoandika ni; “Hayo ndio mambo anayoyapenda” Nani? Lisu. Mambo gani? Kuwa na kesi ya kujibu, maana yake anapenda kujibu kesi, alisha zijibu nyingi na akashinda. “Wanapoteza muda” Akina nani? Waliomshtaki. Vijana mkiwaga na mihemko mnakurupuka tu bila kusoma na...
  11. Jett

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga Kwa Mwananchi wa Mkoani Kushangilia Matumizi ya Stendi ya Magufuli wakati Inamuongezea Gharama za Usafiri Nusu ya Nauli ya Mkoani-Dar

    Watanzania tunatakiwa kutawaliwa tena kwa viboko, tunatamani kuishi 2026 ila akili zipo 1999
  12. Jett

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenye makalio makubwa hawapatani na wanaume wenye mafanikio makubwa sana?

    Mwanamke mwenye mataco ni macho juujuu sana. Mwanaume anaetaka kufanikiwa huhitaji utulivu, hio mara mkewe kuna kajama kanamfukuzia inaondoa uwepo wa utulivu, ndio wengi wenye malengo huona mambo yasiwe mengi beba namba moja weka ndani, mataco atakua ananunua no stress
  13. Jett

    JamiiForums Tanzania Wakili Wasonga: Mhadhiri wa UDOM anatuhumiwa kuchoma majengo ya umma pamoja na makazi ya askari Polisi yote nchini

    Kesi ya kubumba, kwani jamaa alitofautina na mkubwa gani
  14. Jett

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapenda 'kupumua' mbele yangu. Ananidharau au ndio mapenzi yenyewe?

    Ila waafrica akili zetu eti kujambiana kunaongeza upendo
Back
Top Bottom