Recent content by JETM

  1. JETM

    Ushauri: Mwanaume anataka kunioa lakini ana maumbile madogo

    Zipo sababu zinazosababisha hilo ttzo ugonjwa ukiwemo labda aliugua hasa wakati ametahiriwa unaposema genetics ina maana ukoo wote wapo hivyo kama ni la basi watoto wanaweza kumchukua kutoka kwa babu yao.
  2. JETM

    Askofu Stephen Munga: KKKT kamwe haitamuacha mkuu wa Kanisa adhalilishwe

    Mshana sema neno hata mistari miwili inatosha. Mrungu nakadhwe.
  3. JETM

    Rais Magufuli: Niliomba urais kujaribu, nikasukumiziwa huko

    Viwanda vipya vilivyojengwa je vinazidi vile vilivyo punguza uzalishaji au kufungwa kabisa. ?je miradi mipya mingapi imeanzishwa ?
  4. JETM

    Tunauza mashine za kuchomea na kuchaji betri kwa bei nafuu

    Ubungo ni kubwa specify
  5. JETM

    Kuna mbegu nimenunua eti inasafisha tumbo na kuondoa sumu, bado sijaitumia nataka ushauri kwanza

    Huo ni Mlonge ila kula 4 asubuhi na 4 jioni ila inategemea na tumbo lako kama unataka kuhara kula hata kumi kisha kunywa maji ya kutosha
  6. JETM

    CHADEMA yazipelekea barua balozi za Marekani na Ujerumani kuhusu tuhuma za Musiba kwamba zinaihujumu Tanzania

    Kwani musiba aliripoti polisi. ?mbona polisi wao walisema taarifa wamepokea. Je alienda saa ngapi kabla ya kuropoka
  7. JETM

    Sababu zipi hasa hupelekea watu kufanya mapenzi kwenye gari?

    Sio maeneo yote zinapatikana guest house. Wakati mwingine mazingira yanakulazimisha kwa mfano mnasafiri na Treni au basi halafu liharibikie porini.
  8. JETM

    Clouds 360: Hassan Ngoma asema baba yake aliyegundua Tanzanite alianza kuugua akisubiri kumuona RC Makonda

    Hivi Dar ndiyo panapochimbwa hiyo Tanzanite. Au huyo dab ndiye Raisi wa wakuu wa mikoa yote.
  9. JETM

    Dr. Lwaitama apewe uenyekiti CHADEMA na kugombea Urais 2020

    Mtu akitoa mawazo tofauti na makada wenzake ambao wengi wao ni kasuku hua munaanza kumuamndama. Hapo mnatafuta sbb ya kumvua uanachama.
  10. JETM

    Watch "Uhusiano wa Tanzania na Rwanda Rais Kikwete" on YouTube

    Mwanadiplomasia aliyekomaa, na anajua nini maana ya kuwa Raisi Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
  11. JETM

    Kuna ugomvi wa chini chini India dhidi ya Tanzania?

    Fumbo dogo sana, unapojaribu kucheza na mitaji ya matajiri tena wanaonunua bidhaa zako ni hakika watatafuta soko lingine kwa hayo ni mazao na si tanzanite. Manji online
  12. JETM

    Waziri Mpango aiomba Benki ya Dunia mkopo wa Dola 150 milioni za Marekani ili kuchochea ukuaji wa uchumi

    Unaomba Mkopo wa dola ml 150 wakati huohuo kuna kampuni moja unaidai dollars ml 300 maajabu
  13. JETM

    Waziri Mpango aiomba Benki ya Dunia mkopo wa Dola 150 milioni za Marekani ili kuchochea ukuaji wa uchumi

    Tuliambiwa sisi tunatakiwa kutoa misaada badala ya kuomba.
  14. JETM

    Wagweno: Kabila lenye asili ya Kenya lililohamia Tanzania kwa mbinu za kiintelijensia

    Ukitaka kujua kama ni ukoo au kabila linganisha lugha Zao je wanaelewana?
  15. JETM

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ni mgonjwa anatibiwa India! Tumuombee

    Hivi na yeye alituma maombi ya kwenda kutibiwa. Na hyo rufaa nani kampa wakati waziri husika amepiga marufuku. Something is coming. Ugonjwa +five months jail.
Back
Top Bottom