Recent content by jesse alibalio

  1. jesse alibalio

    Kagera: Kilichonifurahisha jana ni wagombea 3 wa CCM kujiuzulu asubuhi

    Hiyo imekaa poa sana.Natamani Oktoba 2015 ifike kesho.
  2. jesse alibalio

    Elections 2015 Apson awatumia kina Bashe kuwachafua Membe na Jack Gotham

    Ni kawaida MCHAWI akikaribia kukata roho,uwataja wachawi wenzie na watu aliowaua.Naona shughuli ya 'RIP' inaanza sasa
  3. jesse alibalio

    Andrew Chenge: Toka Ufisadi hadi Uandishi wa Katiba ya nchi

    Huyu Chenge mambo yake chenga tupu
  4. jesse alibalio

    Kanusha kwamba CCM si wezi

    Sio wezi, wanaanda tuu wadanganyika kujitambua, mkitaka kujua ni wezi wachagueni tena 2015. Sio wezi jamani,hawa ni majambazi sugu ati.2015 mkiwarudisha msishangae wataanza kuvamia/kuvunja nyumba zetu maana hawana cha kuiba tena sababu serikali inafilisika
  5. jesse alibalio

    Kwa kashfa hizi, CCM haifai kuongoza tena

    Kuanzia leo nimeamua kuachana na CCM rasmi.Nisije kuwa miongoni mwa majambazi sugu.
  6. jesse alibalio

    Twaweza: Maoni na Matakwa ya Wananchi juu ya Uongozi wa Kisiasa Tanzania kuelekea 2015

    Ni utafiti mwanana kuliko ata huo wa TWAWEZA.Mungu akupiganie mkuu.Tunasimamia ukweli tuliyo ktk kweli ya Bwana.
  7. jesse alibalio

    Ukweli wa tuhuma za Pinda huu hapa

    Mimi sioni msafi ndani ya ccm,ata lipoti siwezi kuiamini sana.Tuwe na fikra mpya ya ku DELETE CCM.
  8. jesse alibalio

    Picha na Maelezo: Yaliyojiri ktk Viwanja vya Jangwani Mkutano wa UKAWA 26/10/2014

    UKAWA:Histori imeandikwa.Huu ni mwanzo wa mshikamano wa kumg'o mkoloni mweusi.
  9. jesse alibalio

    Mwanasheria Mkuu Zanzibar Akamatwa baada ya kupiga kura ya Hapana

    ​Kama ni kweli,basi BMK-CCM ngoma inogile.
  10. jesse alibalio

    Mwigulu Nchemba avuliwa skafu na Spika!

    Jamani Mwigulu weweee.Sifa za nini?
  11. jesse alibalio

    Treni za umeme na reli za juu kwa juu Dar es salaam..Shuka nayo

    Kama kweli mpango huo upo basi ujue hilo ni dill la kupiga hela za CCM 2015.
  12. jesse alibalio

    Mama Maria Nyerere avunja Ukimya, aungana na Vijana wazalendo kulaani kutukanwa Mwalimu

    Swali langu ni moja tu "CCM mnamuenzi Nyerere kwa lipi?.
Back
Top Bottom