Recent content by jesanga

  1. J

    Ninaweza kutimiza ndoto zangu kwa kusoma QT?

    Kusoma katika umri huu kunategemeana sn na ari ya kujituma toka ndani yako na malengo uliyojiwekea..na usiogope kuwa na ujasiri kwamba hata iweje mm ntafauru.Tafuta syallabus za masomo yote, soma kila kipengele maada kwa maada,nenda shule km majengo,old moshi;mosh tech.mawenzi nk.ongea na...
  2. J

    Sababu ambazo zinachangia wadada kuachika au kutoolewa

    Mkuu haya yote yanatokana na aina ya mwanaume uliye naye.mf wazazi wako hawajali kwann wewe uwajali wa kwake.mwanaume wa leo anakwambia mm naona tujenge nyumba mjengo wa maputo ulivuma sn miaka.ya 90.ukimwelekeza tujenge nyumba nzuri ya kisasa anakuona mjuaji.Uwiz wanawake si wezi ila...
  3. J

    Natafuta kiwanja Morogoro mjini

    Asante sana..naomba number ya simu au njia ya mawasiliano nawe yangu nmekutumia inbox
  4. J

    Natafuta kiwanja Morogoro mjini

    Shukarani mkuu..kwa sasa nahitaji kwa ajili ya kujenga..lakini ngoja tuongee kidogo inbox.
  5. J

    Natafuta kiwanja Morogoro mjini

    Nimeku PM..mkuu asante sana.
  6. J

    Natafuta kiwanja Morogoro mjini

    Nmeku PM mkuu..asante sana
  7. J

    Natafuta kiwanja Morogoro mjini

    Asante mkuu maelezo zaid PM
  8. J

    Natafuta kiwanja Morogoro mjini

    asante mkuu ngoja nijaribu na huko
  9. J

    Natafuta kiwanja Morogoro mjini

    Samahani mm mgeni humu ndani sijui km nimepost sehemu sahihi. Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji mfano ikiwa 7 to 8 km from ofisi za manispaa ni vema zaid). Pia nahitaji nyumba ya kupanga Morogoro...
  10. J

    Natafuta kiwanja Morogoro mjini

    Samahi mm mgeni humu ndani sijui km nipost sehemu sahihi. Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji mfano ikiwa 7 to 8 km from ofisi za manispaa ni vema zaid.Pia nahitaji nyumba ya kupanga Morogoro mjini pia...
  11. J

    Naomba mnipokee katika familia hii nzuri

    Nimeamua kijiunga huku baada ya kuona nafaidika sana na topics za humu ndani zimenifanya nifahamu vitu vingi.0
Back
Top Bottom