We ndo unaonekana hujui nini maana ya chama cha UMMA.
TlL ni mali ya Chama cha Umma?
Tatizo wengi kama nyinyi ambao mko tayari kupindisha ukweli ili muonekane.SYCOPHANT
In reality CPA ya Tanzania ina mapungufu mengi sana.
Lazima tukubali kukosolewa. Kuna mambo mengi sana yanahitaji kufanyiwa marekebisho, if we are really serious.
Kwa sasa value ya CPA (T) ni minimal saana. Less quality.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.