Recent content by Jerryson mshilimu

  1. J

    Katibu Mkuu Kiongozi Vs. Waziri Mkuu, nani mwenye mamlaka/mkubwa kwa mwenzie?

    Kwa mujibu wa katiba yetu Katibu mkuu kiongozi ndo katibu mtendaji wa baraza la mawaziri Baada ya rais kuwa mwenyekt wa baraza la mawazri anaefata ni katibu mkuu kiongozi.
  2. J

    Nani rais mzigo kati ya awamu zote 5 tangu uhuru?

    kama tumeshindwa kujadili mambo ya msingi bora tuache huwezi ukatoa mada ya kipumbavu kama hiyo ukisubri upate majibu mazr ndo maana wajinga na wapumbavu wenzako wamekuunga mkono mi nawaita wapumbavu kwa sababu katiba na sheria za nchi yetu haziruhusu kiongozi wa nchi kumtolea tusi lolote.
  3. J

    Jakaya Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon UN?

    ni sawa lakini je ilishawahitokea ktk makatibu wakuu kuchaguliwa baada ya kuacha urais? tukubushane hao makatibu wakuu tangu 1945.
  4. J

    Mch Gwajima atoa "comments" zake juu ya Baraza la Mawaziri

    Hoja ya msingi katika taifa letu Mtumishi yoyote wa mungu hatakiwi popote awapa kutamka wazi wazi kuwa anamuunga na anamwamini mgombea furan ndo maana hakuna kampen kanisan. Kwahyo huyo mch.aliyataka mwenyewe acha ajioshe na kutoungwa mkono na watz walio wengi kwa maneno yake ya kukejeli...
  5. J

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    Majimbo matano yaliyofanya uchaguz jana Ccm imepata majimbo 4 Cdm jimbo 1 Tujue cdm inaamin sana ukanda.
  6. J

    Mdahalo uliondaliwa na TAHLSO wa Kujadili hotuba ya rais Star TV

    Nimeona mwendesha mdahalo ameamuru jeshi la polis liwaondoe nje watu waliokuwa wanalalamika.
  7. J

    Magufuli kateua wabunge wangapi hadi sasa?

    Mh.rais mpaka sasa amewateua 1.TULIA A MWASASU 2.PROF.MAKAMA MBALAWA 3.POSSY ABDALLAH 4.BAROZI A.MAHIGA Amebakiza nafac zake 6 tu ktk kipindi cha miaka 5.
  8. J

    Mgao wa umeme mikoa mbalimbali

    mfate umeme monduli kwenye mabwawa ya wachunga ng'ombe. kwanza mlisema mna rais wenu mlikuwa mnamwita mh.rais
  9. J

    Mgao wa umeme mikoa mbalimbali

    mfate umeme monduli kwenye mabwawa ya wachunga ng'ombe.
  10. J

    Baraza jipya la Mawaziri: Tanzania Mpya tuliyoitegemea imeanza kuyeyuka..!

    Kaa kimya nchi isonge mbele Hata usipo muunga mkono huna mchango wowote kwenye taifa hili zaid ya kuongea upuudh kama huo.
  11. J

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Jina kamili;prof.sospeter muhongo mbunge wa musoma vijijini
  12. J

    Lema kama NEC walichakachua kura unagombea ubunge wa nini?

    Kwani UKAWA waliibiwa kura jimbo gani na kama wanadai waliibiwa kura kwann wagombea wao hawasemi kura zimeibiwa ? mfano majimbo yaliyochukuliwa na UKAWA lakini kura za rais zikaenda CCM ni pamoja na jimbo la Singida mas(Tindi lisu) Ukerewe Bunda na mengine Sasa kwann hatujawahi kusikia...
  13. J

    Sijaona Kiongozi wa UKAWA aliyeshiriki katika zoezi la usafi leo, kulikoni??

    wao kila kitu upinzani kama ni hvyo walete upinzan kwa kutopokea maendeleo ktk majimbo yao.
Back
Top Bottom