Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,238
kwa warioba ili amsamehe.
Teeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh 😆
kwa warioba ili amsamehe.
Nimeshuhudia viongozi wa serikali, viongozi wa madhehebu mbali mbali hadi wale wa MABOHORA wakishiriki usafi ila sijaona viongozi wa UKAWA wakishiriki zoezi hili. It means hata ingekuwa ni azimio la bunge wao wangepinga.
Hivi kazi ya wapinzani ni kuwa opposite na kila jambo? Kama ndivyo, basi ni bora upinzani ukafutwa kwani ni kurudisha maendeleo nyumba. Hata usafi wanapinga!! Wakati wao ndiyo wachafuzi wakubwa wa mazingira wakiwa wanafanya maandamano.
Mnyika tu ndiye aliyefanya. Wengine wote wa UKAWA wamesusa!! Hata Lema anayeomba kura!! Mnyika namweshimu kama mbunge pekee mwelewa ndani ya CDM ndo maana siku moja nilimshauri aachane na genge la CDM.
kwahiyo Mnyika anabeba ukawa yote? Vp viongozi wakubwa? Ndo maana siku zote namuunga Mnyika mkono. Wengine wote machonjo tu!
Na mimi sijashiriki, unasemaje sasa?! Pumbavu, hata hujui maana ya "opposers!" Ngoja nikueleze kidogo; Katika siasa za vyama vingi, Wewe ukiwa opposer halafu ukaamua kumuunga mkono mpinzani wako, jua kabisa utakuwa unamuongezea wafuasi wako. So, principle ya upinzani popote duniani, ni kufunga mdomo hata kama rais afanye jambo jema ki vipi; Ukimsifia hadharani wewe kama kiongozi wa upinzani, utapoteza supporters.
To keep the opposition parties alive, tunahitaji kukosoa zaidi kuliko kuunga mkono. Hiyo, ni principle. Usitegemee kumuona Mbowe, Lowasa na Mbatia wakimuunga mkono hadhrani rais wa CCM?!
Siku nyingine kabla ya kuanzisha thread kunywa kabisa dawa hii; Inaitwa "HALOPERIDOL, 5MG nocte." Itakusaidia kutopost upuuzi kama huu.
Ushaumbuka..unatafuta pa kutokea mnyika ni kiongoz mdogo chaman? au hujui cheo chake zaid ya hicho cha ubunge' badilikeni nyie msiwe mnakurupuka ili muwe wa kwanza kupost vitu, hapa cyo FB
Na mimi sijashiriki, unasemaje sasa?! Pumbavu, hata hujui maana ya "opposers!" Ngoja nikueleze kidogo; Katika siasa za vyama vingi, Wewe ukiwa opposer halafu ukaamua kumuunga mkono mpinzani wako, jua kabisa utakuwa unamuongezea wafuasi wako. So, principle ya upinzani popote duniani, ni kufunga mdomo hata kama rais afanye jambo jema ki vipi; Ukimsifia hadharani wewe kama kiongozi wa upinzani, utapoteza supporters.
To keep the opposition parties alive, tunahitaji kukosoa zaidi kuliko kuunga mkono. Hiyo, ni principle. Usitegemee kumuona Mbowe, Lowasa na Mbatia wakimuunga mkono hadhrani rais wa CCM?!
Siku nyingine kabla ya kuanzisha thread kunywa kabisa dawa hii; Inaitwa "HALOPERIDOL, 5MG nocte." Itakusaidia kutopost upuuzi kama huu.
nazungumzia viongozi wa ukawa na siyo wa chama.
Mnyika amemsaliti Lowasa kwa kumtabua JPM
Please, watendee haki baadhi ya viongozi wa UKAWA.
Mnyika aliwajibika kwa wananchi wake kwa kufanya usafi kama anavyoonekana kwenye hii picha.
Daaah dishen 6 hiz hatar sana!
Kwa taarifa yako kiongoz yyt anaetoka kwenye CHADEMA, CUF, NCCR au NLD ni wa UKAWA automaticaLLy..
Sa kama huyo mnyika ni CCM uko sawa
Hapo hiyo picha ni usanii.hawana ufagio wala koleo .hata kuinama tu kuokota taka.wataelewa tuuuu
Majipu yanatumbuliwa....
Makontena yanakamatwa..
Safari za nje zimesitishwa..
Usafi tunafanya....
Viongozi wa Ukawa wamejificha....
Yaani hadi rahaaa.😄😄
#livelongjpm