Recent content by jerryf

  1. jerryf

    Hivi huyu mwanamke ni mke wa mtu kweli wakuu?

    Acha usenge uende mbinguni
  2. jerryf

    Huyu demu alikua hanijibu meseji Sasa hivi anajibu nikiwa Sina mzuka nae inakuaje hii wazee

    Dogo huwezi piga pumbu? Siulikua unamtafuta ele mzigo anajileta sasa hivi piga pita ivi mbona esabu ndogo tu dogo unashindwa nini?
  3. jerryf

    Kijana unaetaka kuanzisha familia kwa mara ya kwanza, achana na single mother

    Tatizo hawaelewi madogo nyege zikiwapanda wanaweka vitu alafu wanakuja kutuomba tena ushauri
  4. jerryf

    Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    My poor country haya yote ni life
  5. jerryf

    Nina miaka 24 ila mchumba wangu anataka nimsomeshe. Nifanyeje?

    Masomeshe tu hamna shida kabisa toa ada usilipie hostel mpangishie geto poa kabisa weka kila kitu mtumie ela ya kula kila wiki dogo…fanya kila kitu atakua wako daima usijali SI hamsikii siku izi mpaka mpigwe matukio mnaona waliowatangulia ni mafala sana, ukija na uzi wakulia lia uniite tena...
  6. jerryf

    Arusha Technical College kufuta mahafali kisa wahitimu kugoma kukodisha majoho

    Pameqnza kuchangamka sasa wafute tu watupe vyeti vyetu tukaweke kabatini tuingie kitaa kusaka life kazi zenyewe ziko wapi mpaka nigaramie joho na sina uhakika wa ajira
  7. jerryf

    Day 364 of 365 - utamu na uchungu zote ni sehemu za maisha - njoo tuzogoe 🙃

    Hahaha si nyie dada zetu wa tz mnatunyonya damu,kila siku mnatupiga matukio
  8. jerryf

    Day 364 of 365 - utamu na uchungu zote ni sehemu za maisha - njoo tuzogoe 🙃

    Mkuu hawa unaweza ua kama umezoea hizi tandam zetu ni balaa wanamashine fupi alafu havina miili mikubwa unakinyandua mpaka unakione huruma tatizo sisi tukikutana na hizi ngozi nyingine tunajua tunawakilisha nchi hatutoi boko
  9. jerryf

    Day 364 of 365 - utamu na uchungu zote ni sehemu za maisha - njoo tuzogoe 🙃

    Hawajui mapenzi wanasauti nyembamba wanatoa kwenye mzagamuo hawana pulling kama hawa mazombi yetu hii ngozi nyeusi ni kazi kazi ila hizi pipo nyingine nizakula kuweka historia maishani
  10. jerryf

    Day 364 of 365 - utamu na uchungu zote ni sehemu za maisha - njoo tuzogoe 🙃

    Huu mwaka pumbavu zake uishe tu numepoteza ela sana huu mwaka,nimeachwa tena mchana kweupe,ajali 3 kuna waliovuta ila nilipona sijui hata nimeponaje ponaje, mwisho kabisa ila sio kwa umuhim nimetimiza ndoto ya kumla mchina 😂
  11. jerryf

    PostGE2025 Kosa vyote sio akili. Mara walitoka nje ya Nchi, ikaja walifuata mkumbo sasa hivi eti walilipwa

    Damu damu damu kitu ambacho naamini huyu mama anazo footage za videos mbaya sana kuliko hata sisi ambazo tumeziona anajua waliouwawa ni wangapi mkoa kwa mkoa anajua vingi vya tar 29 kuliko hata sisi tujuavyo hawezi kua sawa damu zinanena zinaita na haziwezi kutulia mpaka zitimize lengo
  12. jerryf

    PostGE2025 Rais Samia: Tumeambiwa vijana walioingia barabarani kudai haki walilipwa fedha kwanza

    Unafikiri zile damu zimeenda bure mzee nauhakika hata sijui kama hua anafanya analysis ya hotuba zake baada yakutoa nnachojua raisi ni taasisi ila huyu yuko mwenyewe mungu anasema nae kimya kimya mpaka kieleweke bado mengi yakushangaza yanakuja mbona mziki ndio kwanza unaanza tunywe mtori nyama...
  13. jerryf

    PostGE2025 Rais Samia: Tumeambiwa vijana walioingia barabarani kudai haki walilipwa fedha kwanza

    ila mungu we mwenyewe siunaona alivyo na kiburi
  14. jerryf

    SI KWELI Heche amesema 'serikali imetuhakikishia mchakato wa katiba mpya, utaanza muda wowote kuanzia sasa'

    Si alisema ni kijitabu tu imekuaje tena mpaka watu wakinukishe ndio akili zikae sawa bado hawajesema baada ya D9 itajulikana
Back
Top Bottom