Masomeshe tu hamna shida kabisa toa ada usilipie hostel mpangishie geto poa kabisa weka kila kitu mtumie ela ya kula kila wiki dogo…fanya kila kitu atakua wako daima usijali SI hamsikii siku izi mpaka mpigwe matukio mnaona waliowatangulia ni mafala sana, ukija na uzi wakulia lia uniite tena...
Pameqnza kuchangamka sasa wafute tu watupe vyeti vyetu tukaweke kabatini tuingie kitaa kusaka life kazi zenyewe ziko wapi mpaka nigaramie joho na sina uhakika wa ajira
Mkuu hawa unaweza ua kama umezoea hizi tandam zetu ni balaa wanamashine fupi alafu havina miili mikubwa unakinyandua mpaka unakione huruma tatizo sisi tukikutana na hizi ngozi nyingine tunajua tunawakilisha nchi hatutoi boko
Hawajui mapenzi wanasauti nyembamba wanatoa kwenye mzagamuo hawana pulling kama hawa mazombi yetu hii ngozi nyeusi ni kazi kazi ila hizi pipo nyingine nizakula kuweka historia maishani
Huu mwaka pumbavu zake uishe tu numepoteza ela sana huu mwaka,nimeachwa tena mchana kweupe,ajali 3 kuna waliovuta ila nilipona sijui hata nimeponaje ponaje, mwisho kabisa ila sio kwa umuhim nimetimiza ndoto ya kumla mchina 😂
Damu damu damu kitu ambacho naamini huyu mama anazo footage za videos mbaya sana kuliko hata sisi ambazo tumeziona anajua waliouwawa ni wangapi mkoa kwa mkoa anajua vingi vya tar 29 kuliko hata sisi tujuavyo hawezi kua sawa damu zinanena zinaita na haziwezi kutulia mpaka zitimize lengo
Unafikiri zile damu zimeenda bure mzee nauhakika hata sijui kama hua anafanya analysis ya hotuba zake baada yakutoa nnachojua raisi ni taasisi ila huyu yuko mwenyewe mungu anasema nae kimya kimya mpaka kieleweke bado mengi yakushangaza yanakuja mbona mziki ndio kwanza unaanza tunywe mtori nyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.