Recent content by Jerry001

  1. Jerry001

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania matumizi ya muda mrefu ya porn yanaweza kusababisha watu kuendelea kutafuta maudhui makali zaidi na mwisho kujaribu vitendo vya ushoga

    Yes. Kila ukimaliza kozi unapata cheti cha completion. Fikiria kuna kozi inabidi umalize ndani hadi ya wiki mbili mpaka mwezi. Huwa nahakikisha nikianza kozi na-focus kwa siku masaa matatu hata kama ni ndefu mpaka iishe. Hiyo ndio tabia mbadala. Unaweza ukaanza na tabia rahisi kama kufanya...
  2. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    Somea Udereva uingie kazini chap
  3. Jerry001

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania matumizi ya muda mrefu ya porn yanaweza kusababisha watu kuendelea kutafuta maudhui makali zaidi na mwisho kujaribu vitendo vya ushoga

    Kuepuka picha za ngono na kujichua tafuta jambo/tabia mbadala la kuondoa hiyo tabia. Binafsi baada ya kumaliza kidato cha sita na kuingia chuo na kuanza kumiliki simu janja na kirakilishi mpakato ndio nikaanza kuwa mraibu wa hivyo vitu viwili ni kama mapacha. Ila baada ya kumaliza chuo baada...
  4. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Just imagine bila ajira za Machinga, Bajaji na Bodaboda kwa mamilioni ya vijana kwa wazee hapa Tanzania. Hao wote wangeajiriwa/kujiajiri kwenye kazi zipi 'decent '?. Nafikiri magenge ya uhalifu yangetapakaa kila kona. Binafsi naunga mkono hizo ajira. Zirasimishwe na kuondolewa vikwazo ila tu...
  5. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Hivi yale mabango ya kujiunga Freemasons kwenye nguzo mitaani yana wadau kweli?
  6. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Kwa nchi masikini kama yetu nasimama na maono ya Magufuli, ruhusu Machinga kila sehemu, Ruhusu Bodaboda na Bajaji ziingie mpaka mijini. Kuwe na uchumi jumuishi. Ila tu tutafute namna ya kudhibiti uhalifu kwa kuwasajili na kuwapa vitambulisho na kuwaweka kwenye makundi makundi ili kuwadhibiti...
  7. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    Natafuta mrembo wa kinyarwanda nimzalishe.
  8. Jerry001

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania huo u ‘super brand’ nani aliwapa? Je, ni tuzo ya kudumu?

    Azam TV wakiacha udini wanapaswa kuwa super-brand.
  9. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Tuwapongeze wachina wametutoa kwenye viswaswadu vya tsh 120 vya wazungu na wakatupelekeka kwenye viswaswaswadu vya tsh 20k vya kichina

    Wanaotumia iphone matrako yao. NB: Sina uwezo wa kumiliki iPhone 16 pro max
  10. Jerry001

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa PEPMIS umechangia Watumishi 370 wa Halmashauri ya Jiji la Dar tusipandishwe daraja

    Serikali Sirikali Thelikali. Waangalieni Watumishi hawa kwa jicho la huruma. Wana familia na ukoo unawategemea.
  11. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Fanya hivi ili uzi upate wachangiaji wengi

    Ukishapata wachangiaji wengi unanufaika na nini hasa! Ni bora uweke uzi wa kuwachana watu ukweli, wachukie, wavimbe Wakafie mbele. Namkubali sana Natafuta Ajira . Mwanangu wa faida.
  12. Jerry001

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa Ubungo Msewe tumechoka kununua dumu la maji shilingi 1,500

    Hayo ni zaidi ya manyanyaso.
  13. Jerry001

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyumba niliyohamia wanawake wanaomba omba sana

    Hao wadada wenyewe wazuri au wana sura personal na flat screen?
Back
Top Bottom