Yes. Kila ukimaliza kozi unapata cheti cha completion. Fikiria kuna kozi inabidi umalize ndani hadi ya wiki mbili mpaka mwezi. Huwa nahakikisha nikianza kozi na-focus kwa siku masaa matatu hata kama ni ndefu mpaka iishe.
Hiyo ndio tabia mbadala.
Unaweza ukaanza na tabia rahisi kama kufanya...
Kuepuka picha za ngono na kujichua tafuta jambo/tabia mbadala la kuondoa hiyo tabia.
Binafsi baada ya kumaliza kidato cha sita na kuingia chuo na kuanza kumiliki simu janja na kirakilishi mpakato ndio nikaanza kuwa mraibu wa hivyo vitu viwili ni kama mapacha.
Ila baada ya kumaliza chuo baada...
Just imagine bila ajira za Machinga, Bajaji na Bodaboda kwa mamilioni ya vijana kwa wazee hapa Tanzania. Hao wote wangeajiriwa/kujiajiri kwenye kazi zipi 'decent '?. Nafikiri magenge ya uhalifu yangetapakaa kila kona.
Binafsi naunga mkono hizo ajira. Zirasimishwe na kuondolewa vikwazo ila tu...
Kwa nchi masikini kama yetu nasimama na maono ya Magufuli, ruhusu Machinga kila sehemu, Ruhusu Bodaboda na Bajaji ziingie mpaka mijini. Kuwe na uchumi jumuishi.
Ila tu tutafute namna ya kudhibiti uhalifu kwa kuwasajili na kuwapa vitambulisho na kuwaweka kwenye makundi makundi ili kuwadhibiti...
Ukishapata wachangiaji wengi unanufaika na nini hasa! Ni bora uweke uzi wa kuwachana watu ukweli, wachukie, wavimbe Wakafie mbele. Namkubali sana Natafuta Ajira . Mwanangu wa faida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.