Recent content by Jerry001

  1. Jerry001

    Wanaume kujikutaga mna akili na hamuendeshwi kwa hisia, imekuaje mmekamatika kirahisi kwenye uzushi wa kuibiwa nyeti?

    Mwanaume lazima ujihami kwanza kisha mambo mengine baadaye. Ukitaka kujua mshike bebi wako makalio wakati anafanya uchimbaji wa madini ndio utajua mwanaume wa kweli anajihami kwanza. Sasa unafikiri taharuki hii mwanaume kupoteza zana za Kavita atachukulia kwa wepesi hata kama ni uzushi...
  2. Jerry001

    Azam Wasipoifunga Simba Nitafadhaika Sana

    Amka kutoka usingizini utajikojolea.
  3. Jerry001

    Bunge la Cameroon laanzisha nafasi ya Makamu wa Rais. Upinzani Wapiga Yowe

    Waafrika ni manyani yaliyochangamka isipokuwa wewe unayesoma hii comment na mimi.
  4. Jerry001

    KERO MATUMIZI MABAYA ya Taarifa Binafsi za Kitambulisho cha Taifa (NIDA) katika Usajili wa Uanachama wa CCM

    Makada wenzako wapo humu watatolea maelezo hiyo scenario yako. Pole sana
  5. Jerry001

    Wanaume tuwe makini, Wizi wa sehemu za siri za kiume "Penis snatching" umeingia Tanzania

    Bado haiingii akilini. Yaani uibiwe nyeti kwa kushikwa bega. Nitakuwa wa mwisho kuamini huu uzushi
  6. Jerry001

    Watoto wamelala

    Wazee wa kataa ndoa huu ndio muda wenu wa kulikaba joka mpaka litapike Tuache utani, ukiwa na kabinti kabichi chuchu saa 6 umekatoa bikra mwenyewe, kako peke yako, katoto ka kishua kanadeka kifuani muda wote utaona dunia umeipatia. Anyways, natafuta wa kufanana naye. Aje inbox
  7. Jerry001

    Maisha ni miujiza, ni nini kimewahi kukutokea kwenye maisha yako na ukasema 'This isn't me.. it's a miracle'

    Nilipata kazi ya kuchimba kaburi wakati huo sina mbele wala nyuma. Tulikuwa na wenzangu wawili kwa Tsh. 80,000. Tukagawana 25 kila mmoja na 5 tukanunua kiburudisho kuondoa uoga. Kazi ilianza saa 11 alfajiri. Basi bana kwenye harakati za kuchimba kaburi nikaona sarafu ya mjerumani, kipindi hicho...
  8. Jerry001

    Nikisoma kozi fupi ya OSHA itanisaidia kupata kibarua?

    Nafikiri hizo course zina added advantage ukiwa na degree ila sidhani kama kuna ajira ya serikali unaweza kupata kwa cheti cha mafunzo ya muda mfupi merely. Labda kwenye viwanda vya wahindi kama compliance officer sio uhakika.
  9. Jerry001

    kama uzuri ingekua unagaiwa, ningempunguzua dada angu

    Tatizo la afya ya akili linazidi kushamiri.
  10. Jerry001

    Ukipata mdada mwenye hivi vinyweleo muoe usichezee bahati ni watamu sana hao

    Kama mdada wa hivyo yupo hapa jukwaani anifate inbox.
  11. Jerry001

    Ghana: Kitambulisho cha Taifa kuanza kutoa pesa kwenye ATM na kufanya malipo mitandaoni

    Malawi vitambulisho vya taifa vinafutika maandishi na picha zinafifia.
  12. Jerry001

    Demu kanikataa live?

    Mkuu umebugia konyagi ngapi hadi muda huu? Pumzika kesho nayo siku
  13. Jerry001

    Mashabiki wa Simba, baada ya Mangungu, mchagueni Joseph Rwegasira (Jayrutty) kuwa Mwenyekiti wa klabu yenu

    Naona umejinasua kwenye MATRIX mkuu. Simba na Yanga ni miradi ya Chama
Back
Top Bottom