Ukiuwa mtu/watu huwa kuna majuto makubwa hasa kifo kikibisha hodi kwako.
Jamii yangu kwenye koo niliyotoka inaamini kuwa kifo kinaongea na wewe sekunde chache kabla ya kukukumba (Hapa siongelei dini za kuletewa). Huwa kinakumbushia matukio makubwa mazuri na mabaya kwa picha (vision) uliyofanya...
Kabisa mkuu. Binadamu ambaye sio mzazi wako hawezi kukupenda kwa kila hali hadi mwisho wa dahari. Never!
Kila mwanadamu ana turning point yake (hata mwanao), tunatofautiana tu. Yupo atakayekuwa bega kwa bega na wewe katika nyakati fulani ngumu ila ikifikia ukomo wake (Turning point) atakuacha...
Ni mambo machache sana bunadamu una free will. Mengi yapo planned na principles za ulimwengu na natural order since your origin.
Na vitu vinavyoondoa free will ni
1. Jamii ulipozaliwa (Society)
2. Serikali yako (Government)
3. Miungu uliyorithishwa (Blind Faith)
4. Your innerself (Ndani yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.