Recent content by Jerry001

  1. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Ana miaka 47 anaishi kwa Wazazi wake, kazi hana na anataka kuja kwetu kujitambulisha

    Sasa hapo mbona wewe uliyeleta hii stori mbona ndio hujitambui. Edo anajitambua anabeti mikeka inatiki, kuacha laki 3 ukweni sio mchezo
  2. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Atapigwa matukio.
  3. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Hakika Gta 6 itanirudisha kwenye Games..

    Red Dead Redemption 2
  4. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Kilichobaki Sasa nipate mke nioe

    Kama bado hujafunga dishi la Azam nipe kazi mkuu. Mkeo atafurahi akiwa ndani
  5. Jerry001

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera mkuu. Ukawe mtumishi mwema, ukimtanguliza Mungu.
  6. Jerry001

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Never give-up mkuu
  7. Jerry001

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Kumekucha!
  8. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    Ramli chonganishi. Ngoja tusubiri
  9. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Ni uzuni Hull City waitandika Manchester United 2-0

    Wajipange mechi ijayo
  10. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Ule upendo wa kweli bado upo?

    Watch your back. Trust nobody.
  11. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Yupo duniani mtawala yeyote aliyewahi kuuwa watu 20 au 30 anayedunda mtaani?

    Ukiuwa mtu/watu huwa kuna majuto makubwa hasa kifo kikibisha hodi kwako. Jamii yangu kwenye koo niliyotoka inaamini kuwa kifo kinaongea na wewe sekunde chache kabla ya kukukumba (Hapa siongelei dini za kuletewa). Huwa kinakumbushia matukio makubwa mazuri na mabaya kwa picha (vision) uliyofanya...
  12. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Ule upendo wa kweli bado upo?

    Kabisa mkuu. Binadamu ambaye sio mzazi wako hawezi kukupenda kwa kila hali hadi mwisho wa dahari. Never! Kila mwanadamu ana turning point yake (hata mwanao), tunatofautiana tu. Yupo atakayekuwa bega kwa bega na wewe katika nyakati fulani ngumu ila ikifikia ukomo wake (Turning point) atakuacha...
  13. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Je, mwanadamu anayo tena uhuru wa kuchagua (free will) au kila kitu kimepangwa?

    Ni mambo machache sana bunadamu una free will. Mengi yapo planned na principles za ulimwengu na natural order since your origin. Na vitu vinavyoondoa free will ni 1. Jamii ulipozaliwa (Society) 2. Serikali yako (Government) 3. Miungu uliyorithishwa (Blind Faith) 4. Your innerself (Ndani yetu...
  14. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Ule upendo wa kweli bado upo?

    Upendo huo utaupata kutoka kwa wazazi wako tu. Na wewe kuwapa wanao wa kuzaa tu. Sio ndugu wa damu, mpenzi, mke au mume. Tusidanganyane.
  15. Jerry001

    JamiiForums Tanzania Wanawake ambao huweka makucha bandia marefu vidoleni huwa sio mateso kwao?

    Umemaliza kila kitu mkuu. Yaani kuna mahali wananuka.
Back
Top Bottom