Recent content by Jerry001

  1. Jerry001

    Marekani: Mtanzania achaguliwa kuwa Rais wa Wanafunzi wa Elimu ya juu ya Uzamili na Uzamivu Chuo Kikuu cha Georgia

    Safi sana. Sasa ngoja nipaki mabegi nipae kwenda kwa jombaa Trump, pakufikia ninapo
  2. Jerry001

    Ulificha magendo gani chumbani kwako alafu ile unarudi nyumbani ukakuta kiko sebuleni unasubiriwa utoe majibu?

    Enzi za sekondari nilitumiwa box la valentine na demu wangu ameweka bikini yake na barua. Ikawa naisoma ile barua na kunusa ile bikini kila siku kabla ya kulala. Bi mkubwa akaja kuifuma kwenye tranka.
  3. Jerry001

    Nawezaje kuishi bila kazi yeyote, tusaidiane

    Kama upo single, Na mimi nipo single, njoo inbox tujadili tunapambana vipi na haya maisha.
  4. Jerry001

    Hapa najitengenezea bomu mwenyewe kwa maksudi siku likilipuka nitajuta

    Ana miaka mingapi mchepuko wako?
  5. Jerry001

    Wazo la JamiiSaccos

    Ngoja nimuite Afisa kipenyo aje atoe ushauri nini kifanyike
  6. Jerry001

    Hii ndio style universal ya kumfanya mwanamke anyeshe, haijalishi ni wa aina gani, kwao ni California au Bunda lazima anyeshe

    Hapo UTI itakayovunwa sio ya nchi hii. Kaa mbali na zinaa ina madhara
  7. Jerry001

    Tupeane updates za ajira mpya JWTZ 2026

    Kuna wadau kila mwaka wanasikilizia ronja toka 2019, najiuliza hawazeeki au ndio wajeda wanavamia kila uzi wa kazi za Militia!
  8. Jerry001

    Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Wasiliana na TAKUKURU 113. Wape maafisa kitu kidogo, watashughulikia jambo lako fasta.
  9. Jerry001

    Mke wangu hataki nimshike kalio tuki-sex

    Kaongee na mchungaji wake awape semina ya mahaba chumbani. Atabadilika. Huwa wanawasikiliza zaidi wachungaji kuliko mume.
  10. Jerry001

    Hivi inawezekanaje mtoto wa kiume miaka 33 upo Kwa wazazi unakula ugali wa shikamoo

    Ndio raha ya kuwa na Baba. Acha ale vya Baba yake
  11. Jerry001

    Uingereza kugawa umeme bure kwa wananchi

    Vya bure ni gharama. Serikali ufanye namna ya kushusha bei ya kuunganisha umeme na bei ya unit ya umeme iwe nafuu zaidi.
  12. Jerry001

    Mshindi wa kwanza kuondoka na 30M (Vijana uchumi challenge)

    Ngoja niingie kwenye Kinyang'anyiro. Naanza na ideas za JF kwenye jukwaa la Stories of Change. Sina muda wa kupoteza.
Back
Top Bottom