Kuna chama maeneo ya Tandika Daresalaam linaitwa SIFA POLITANI.Ni balaaa,ndo alipotekea Seleman Mkati aliyesajiliwa Yanga,Juma mazoo aliyesajiliwa Reli Morogoro na Ibrahim ramadhan Ibingi aliesajiliwa Yanga....baba hili chama ni Nyoko kwa fujo uwanja wa MABATINI TANDIKA.na wapinzan wao au wahuni...
Nilimkuta anauza baa.nikaanza kudate nae.Kuna siku nimemfuma ghetto alilopanga anamuingiza operator was grader.Jamaa ndo walikuwa wanaingia kwa hiyo mbunye haikuliwa walikimbia.Nikasamehe.Nikamtoa baa nikamleta Kwangu.akatulia. Juzi ametoroka yupo Dodoma huko kwenye baa za Kitimoto.Jana anaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.