Kaka mara nyingi sana unakiaibisha chama chetu kwa kauli zako zenye utata ambazo zimekua hazikijengi chama chetu zaidi ya kukichafua machoni pa watanzania. Kabla hujazungumza hebu tafakari kauli zako kama zinajenga chama au kubomoa chama. Kaka mara nyingi umekua mkurupukaji hata unapokua na...
Jaman mbona sisi watoto wa kambo hapa lumumba tumekua mtetezi wa Kagenzi kiasi hiki kunani jaman? Mambo ya cdm tuwaachie wenyewe sisi tuweke mikakati yakuendeleza mikakati ya chama chetu ccm tukimsaidia katibu mkuu wetu Kinana kwa kazi anayofanya.
Mmmh naomba nisimzungumzie huyo Dr slaa namheshimu sana hata ndani ya chama changu ccm wanamuogopa sana ndio mana wanataka kumwahisha. Ila nataka kujuzwa ndani ya chama changu kama si lowasa wanataka tumpe nan
Albert Msando ni mweupe sana na mchanga sana kisiasa na upande wa kisheria. Yeye ndio kamfikisha zitto hapo alipo kwa kujifanya anajua kila kitu kumbe mbeleni ni giza.
Mangula hatakiwi kwenye hili taifa akisaidiana na Nape. Wao ndio wamejenga makundi na kuua chama chetu cha ccm hata kufanya kionekane chama hovyo sana.
Hvi wachaga wamekufanyaje huwezi changia bila kuwataja wachaga? Mbona una akili ndogo sana inamana hapo ndio mwisho wa upeo wako wa kufikiri umeishia? Cdm ni chama kama vilivyo vyama vingine tatizo lao wao wameweza kusimamia sheria zao na katiba ya chama chao wakati sisi ccm hatuwezi hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.