Mwamba Usemao Kweli
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 744
- 186
- Thread starter
- #21
Huku Lowasa anafanya nini?
Ushirikina full...100%
Huku Lowasa anafanya nini?
Basi Lowasa akagombee uraisi wa wachawiUshirikina full...100%
Mwenye sifa nani?
Mikakati ya kuendeleza ufisadi siyo.endeleeni tumeshawatambua.huyu mroho wa madaraka lowassa akawe rais richmond.Endelea kujidanganya...... kila baada ya dakika 15 lazima Kinana na Lowassa waongee kwenye simu na kupeana mikakati...
UKAWA haitakubali fisadi yoyote aongoze nchi hii tena .Ni swala la muda tu mkuu.... tuwe na subira
Dr.Slaa ndo raisi mtarajiwa
Lowasa huku anafanya niniMmmh naomba nisimzungumzie huyo Dr slaa namheshimu sana hata ndani ya chama changu ccm wanamuogopa sana ndio mana wanataka kumwahisha. Ila nataka kujuzwa ndani ya chama changu kama si lowasa wanataka tumpe nan