Recent content by Jerda

  1. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    @all, nimeongea na yule dada frndly, kanieleza mambo mengi, kamwambia akome kunisumbua na me ndo mke wake mtarajiwa, pamoja na hayo kadai anawanawake wengine watatu mitaa tofauti huko wanakoishi, huyu dar now yupo dar, me mwanza, na yule boy kagera, yule dada katoka bukoba ndo karudi dar, na...
  2. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Preta nifafanulie kidogo hapo
  3. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    mimi49 ndio kugombana kwao ndo ivo, nimejua
  4. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Toka kumaliza yeye alijiajiri mimi nikatafuta ajira ndo nimepata pamanent ajira, nakuanza kuangalia suala zima la kuoana, ndo hivo majanga sasa, real heartz me!
  5. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Hiyo miaka mitano sote tulikuwa shule, nabaada ya shule ndo tulikuwa tunapanga kuoana mwakani december
  6. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Sijakuelewa hapo kiongozi
  7. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Nimcheki nani sasa?
  8. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Japo nampenda sana dats y naumia nakupata wkt mgumu, nashukru kwa mawazo yenu
  9. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Arafu hicho kipindi chote ni long distance, nahapa mimi npo mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine
  10. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Jaman, huyo dada wamefarakana, ila source n mimi, na mimi npo mbali japo mawasiliano yalikuwa active, hata kwa wazazi, ndugu na jamaa, na wametumiana sms za matusi nyingi sana, japo mimi nimepata tarifa toka kwa rafiki yetu,
  11. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jamani, naumia sana

    Msaada jaman nahc kuchanganyikiwa, nimekuwa na mpnz wangu zaid ya 5yrz mpaka kutambulishana, ila ndan ya 2yrz nimekuwa nikmsadia kadl ya uwezo wangu anapokuwa nashida kipesa, na mengne, binafsi ndan ya hcho kpnd nikiwa na shida huwa haishiwi sababu, kilichonichanganya zaid n baada yakupigiwa...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi zaidi ya 50 UDSM wafukuzwa moja kwa moja!

    Hilo ndo jibu walilopewa kipindi wapo SEGEREA, wakidai mulizomea MKUU naametoa ANGALIZO hakuna kupewa mzamana.. nakuweka kiwango kikubwa sana cha PESA pale utakapotaka kutoa mzamana........ yale ya BABU SEYA yamefika ktk chuo kikuu cha taifa.. tunaelekea wapi jamaniiiiiiiiiiiiiiii
  13. J

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi zaidi ya 50 UDSM wafukuzwa moja kwa moja!

    mkuu hili suala ni toka juzi na watu walishatupia sana humu kwaiyo mimi nilichokifanya nikutoa update ya leo.. wakati tamko la VC lajuzi baada yakugoma na kuzuia UTAWALA alitoa tamko lakuwarudisha wale 35 na kuwasuspend wale 8, vijana walizidi kushinikiza mgomo wakitaka hata wale 8 warudi...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi zaidi ya 50 UDSM wafukuzwa moja kwa moja!

    mkuu nimekujibu hapo tayari pitia comentz hapo utapata jibu
  15. J

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi zaidi ya 50 UDSM wafukuzwa moja kwa moja!

    mkuu hili suala ni toka juzi na watu walishatupia sana humu kwaiyo mimi nilichokifanya nikutoa update ya leo.. wakati tamko la VC lajuzi baada yakugoma na kuzuia UTAWALA alitoa tamko lakuwarudisha wale 35 na kuwasuspend wale 8, vijana walizidi kushinikiza mgomo wakitaka hata wale 8 warudi...
Back
Top Bottom