Msaada jamani, naumia sana

Msaada jamani, naumia sana

Jaman, huyo dada wamefarakana, ila source n mimi, na mimi npo mbali japo mawasiliano yalikuwa active, hata kwa wazazi, ndugu na jamaa, na wametumiana sms za matusi nyingi sana, japo mimi nimepata tarifa toka kwa rafiki yetu,
Ahhh kwahio unamaana mchuchu wako ana mawasiliano na ex-wako...na wewe ndio ilikuwa chanzo cha wao kuachana!!
 
miss strong nilivyoelewa mimi ex wa huyo jamaa ndo alipiga sim kumsumbua Jerda mwenye mali kwa sasa japo Jerda ndio chanzo wa wao kuachana...

Kwahiyo huyu Jerda ndo kaibiwa???Hakuna kitu,me mwanaume ambaye nitaamua kupiga chini bila kujiuliza uliza ni dume la namna hii!!!
Wewe mwanaume unampaje demu simu akague mpaka akasome sms zangu?alikuwa wapi wakati huyo demu anachokonoa hiyo simu?au ndo alikuwa anataka kumuhakikishia kuwa yeye hana mpango na wewe ila unamsumbua tu?.....tathimin vizur lakin huyo jamaa si mwaminifu na hajui thamani yako,kuumwa kwa dada yake na kuongea kwa simu vina uhusiano gani?Anajua utarud tu......si unampenda!
 
Last edited by a moderator:
Ok Jerda kama nimekuelewa vizuri huyo mwanaume hakufai..Na unapomchukulia mwenzio lazima ujue consenquenses za matendo yako...you cant get away easily with it...
 
Last edited by a moderator:
@all, nimeongea na yule dada frndly, kanieleza mambo mengi, kamwambia akome kunisumbua na me ndo mke wake mtarajiwa, pamoja na hayo kadai anawanawake wengine watatu mitaa tofauti huko wanakoishi, huyu dar now yupo dar, me mwanza, na yule boy kagera, yule dada katoka bukoba ndo karudi dar, na anadai aliacha simu na kwenda nje ndo nikawa napga, ndo alipoamua kuangalia kwenye inbox, nakukuta sms zangu, ndo hayo.
 
Msaada jaman nahc kuchanganyikiwa, nimekuwa
na mpnz wangu zaid ya 5yrz mpaka
kutambulishana, ila ndan ya 2yrz nimekuwa
nikmsadia kadl ya uwezo wangu anapokuwa
nashida kipesa, na mengne, binafsi ndan ya hcho
kpnd nikiwa na shida huwa haishiwi sababu,
kilichonichanganya zaid n baada yakupigiwa simu
na mdada aliyekuta sms zangu kwenye simu yake
I mean demu wake, nimemtumia sms zakuuliza
toka juzi nakukaa kmia mpaka leo, nimeamua
kupga simu akadai nisubiri aongee na dada yake
kapata ajali ya gari, after 5minutes akadai
nimuache kwanza, nikampigia dada yake akadai
amepata ajali ya gari ndio nikamuliza upo hospital
akadai hapana yupo nyumbani, it meanz haikuwa
seriouz sana, nahc kukata tamaha nahtaji ushauri
wenu!

Dada sasa nahisi utakuwa umetulia post tena upate ushauri sasa mzuri, unaonekana umepaniki tu pole
 
Sijui ni mimi tu sijaelewa au kuna wengine. Hebu tuliza moyo Jerda na uelezee vizuri ili upatiwe msaada na mawazo.
Tuko pamoja atulie kwanza tuli kisha atueleze vizuri yani kama nimeelewa kama sijaelewa bado mawenge!
 
Last edited by a moderator:
Sijui ni mimi tu sijaelewa au kuna wengine. Hebu tuliza moyo Jerda na uelezee vizuri ili upatiwe msaada na mawazo.

mwizi wa mhogo baada ya kuuzoea, anashindwa kukubali kuurudisha kwa mwenyewe, japo mhogo upo kwa mmiliki halali.
Inawezekana mhogo mtamu sana, mwizi hawezi pata mwingine kama huo au matatizo ya macho (kutokuona mbali).
 
Last edited by a moderator:
Cjaelewa kabisaaaaaaaa! Em elezea vzuri banaa vipiii?
 
@all, nimeongea na yule dada frndly, kanieleza mambo mengi, kamwambia akome kunisumbua na me ndo mke wake mtarajiwa, pamoja na hayo kadai anawanawake wengine watatu mitaa tofauti huko wanakoishi, huyu dar now yupo dar, me mwanza, na yule boy kagera, yule dada katoka bukoba ndo karudi dar, na anadai aliacha simu na kwenda nje ndo nikawa napga, ndo alipoamua kuangalia kwenye inbox, nakukuta sms zangu, ndo hayo.

Muonge friendly????teh teh teh kwani yeye mpaka kafunga safar kwenda kwa huyo bwana hampendi mpaka aachie ngaz kiulaini???
Huyo jamaa anakuchezea mchezo,kuna uwezekano kabisa yupo demu mwingine ndo kapewa kaz yakukutuliza si unasema unamsaidiaga.........!Sina iman na hayo uliyoyazungumza.
 
@all, nimeongea na yule dada frndly, kanieleza mambo mengi, kamwambia akome kunisumbua na me ndo mke wake mtarajiwa, pamoja na hayo kadai anawanawake wengine watatu mitaa tofauti huko wanakoishi, huyu dar now yupo dar, me mwanza, na yule boy kagera, yule dada katoka bukoba ndo karudi dar, na anadai aliacha simu na kwenda nje ndo nikawa napga, ndo alipoamua kuangalia kwenye inbox, nakukuta sms zangu, ndo hayo.

Muonge friendly????teh teh teh kwani yeye mpaka kafunga safar kwenda kwa huyo bwana hampendi mpaka aachie ngaz kiulaini???
Huyo jamaa anakuchezea mchezo,kuna uwezekano kabisa yupo demu mwingine ndo kapewa kaz yakukutuliza si unasema unamsaidiaga.........!Sina iman na huyo mwanaume na pia huyo uliyezungumza nae!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom