Msaada jaman nahc kuchanganyikiwa, nimekuwa
na mpnz wangu zaid ya 5yrz mpaka
kutambulishana, ila ndan ya 2yrz nimekuwa
nikmsadia kadl ya uwezo wangu anapokuwa
nashida kipesa, na mengne, binafsi ndan ya hcho
kpnd nikiwa na shida huwa haishiwi sababu,
kilichonichanganya zaid n baada yakupigiwa simu
na mdada aliyekuta sms zangu kwenye simu yake
I mean demu wake, nimemtumia sms zakuuliza
toka juzi nakukaa kmia mpaka leo, nimeamua
kupga simu akadai nisubiri aongee na dada yake
kapata ajali ya gari, after 5minutes akadai
nimuache kwanza, nikampigia dada yake akadai
amepata ajali ya gari ndio nikamuliza upo hospital
akadai hapana yupo nyumbani, it meanz haikuwa
seriouz sana, nahc kukata tamaha nahtaji ushauri
wenu!
na mpnz wangu zaid ya 5yrz mpaka
kutambulishana, ila ndan ya 2yrz nimekuwa
nikmsadia kadl ya uwezo wangu anapokuwa
nashida kipesa, na mengne, binafsi ndan ya hcho
kpnd nikiwa na shida huwa haishiwi sababu,
kilichonichanganya zaid n baada yakupigiwa simu
na mdada aliyekuta sms zangu kwenye simu yake
I mean demu wake, nimemtumia sms zakuuliza
toka juzi nakukaa kmia mpaka leo, nimeamua
kupga simu akadai nisubiri aongee na dada yake
kapata ajali ya gari, after 5minutes akadai
nimuache kwanza, nikampigia dada yake akadai
amepata ajali ya gari ndio nikamuliza upo hospital
akadai hapana yupo nyumbani, it meanz haikuwa
seriouz sana, nahc kukata tamaha nahtaji ushauri
wenu!