Nape ni limbukeni kwanza hajui depth ya wachaga katika nchi hii. namuasa "akicheza ata perish kisiasa very soon. Namshauri afanye research ya chaggas kwenye nchi hii apate ufaham kwanza.
Yamesemwa mengi hapo lakini ishu kubwa naiyona wanawake wanakujishtukia kwingi sana hawajiamini hata kidoga hatakama ni mke wa mfalme duh!! hii ni ngumu kubadilika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.