Kuna namna hainipendezi kwenye huu muungano. Yaani ukiwa mzanzibar una haki zote katika huu muungano ila ukiwa mtanganyika huwezi hata kuajiriwa na Serikali ya Zanzibar wala kwenda kujenga Zenji, ila ukiwa mzenji unaweza fanya lolote huku bara sasa si ni heri uwe Mzanzibari tuu....
Naomben...
Hii huwezi kusema ndoto ndani ya ndoto ...
Mimi kwangu ni kawaida kuota ndoto ndani ya ndoto
Naweza nikaota jambo fulani alafu nikashtuka lakini hata hiyo kushtuka ni kuwa nimeota nimeshtuka kutoka kwenye ndoto angali bado nimelala.
Ninapokuja kushtuka in reality ndo huwa natambua kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.