Mwananchi masikini anae tafuta mlo moja kwa kutwa mheshimiwa amesema asishikwe kodi washikwe matajiri na mtajiri wapo ambao wana magari ya milioni mia mbili nyumba zake kumi kila moja milioni mia tatu hawa ndio wanao lalamika masikini wanalalamika kwa lipi kama ni kwa mlo mmoja ndio huhuo
Nimekwisha sema ndani ya ccm wapo chadema na ndani ya chadema wapo ccm hivi watanzania tutarajie nini tutasonga mbele au tutabaki tulipo au tutarudi nyuma rais magufuli ni mzuri sana tena sana lakini kuna unyama anaofanyiwa huyu rais alituomba watanzania tusaidie tena tumuombe mungu kifupi ana...
Magufuli ni mtoto wa masikini ndio maana ana huruma na kama swala la bandari kukosa mizigo hata utawala wa nyerere kulikua hakuna mizigo na tuli ishi tulikua tuna vaa kaputura saba lakini matako yanaonekana magufuli kaza buti mpaka turudi hapo hapo tulipo toka tuna hamu na utawala wa nyerere
Hivi hujuwi ubepari ni unyama hakuna mtu mbaya kama tajiri masikini ana kumbuka alivyo teseka alipokua mtoto alilala na njaa alikosa mavazi kwa hiyo akimuona mewingine anakua na huruma
Nimekwisha sema nchi imebalehe hata ukifungia ndani asubuhi utaikuta nchee ukiuliza umetokea wapi haijuwi sijuwi vibaka mara watoto wa mazingira magumu mara machangu doa mara miji ina panuka haraka kwa sasa vijijini hakukaliki na mijini hakukaliki sheria kandamizi utakuta mtu haki yake jasho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.