Daah huyo jamaa na crew yake walishawahi nivamia Kigamboni wakati nasoma na kuniibia laptop yangu. Jamaa alikuwa mtemi sana na alikuwa akiogopwa kweli kweli.
hivi mnapata wapi ugumu kutumia 1xbet?tena kwa sasa wameleta hii option ya kudeposit na kuwithdraw kupitia mawakala yaani ndo imezidi kuwa bomba kuliko hata hizo njia za bank.Binafsi sijaona app bomba ya bet kama 1x.
naona wameingia tamaa baada ya kuwa nawateja wengi wanaofanya ads kwa sasa..FB ilikuwa platform yenye nguvu sana 2017 kushuka chini,na instagram inaelekea huko pia