Recent content by JEly

  1. J

    JamiiForums Tanzania UKAWA kutokuhudhuria katika misiba ya viongozi wa siasa

    Mbona Magufuli hakutokea???
  2. J

    JamiiForums Tanzania Familia ya Gwajima yaja juu kwa udanganyifu wa Askofu Gwajima

    Trash!!!!!!!!!!
  3. J

    JamiiForums Tanzania ITV huu sasa ni upendeleo wa wazi wazi kwenye habari zenu

    Kama kuna chombo cha habari nakikubalali kwa sasa katika kipindi hichi cha uchaguzi ni kituo cha television cha "AZAM TWO", hawa jamaa wamejipanga vilivyo, wanatoa habari za kina, majadiliano ya kina na yenye tija kuhusu mambo yote yaliyohit kwenye ulimwengu wa siasa. Wanaidadavua habari...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mbowe: JWTZ imepeleka Wataalamu wa IT NEC

    Kwani kuna kosa gani wanajeshi wataalamu wa IT kwenda NEC?...me nadhani muheshimiwa Mbowe angejikita zaidi kwenye kutangaza sera za chama, huu si wakati wa malumbano na vyombo vya dola, wananchi tunawaamini, na tuko nyuma yao.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Uhuru, Kikwete agree to defuse tourism dispute

    Rais wa Tanzania na Kenya wamekutana kwa faragha Namibia na kukubaliana kuboresha mahusiano ya kidiplomasia kwa kufungua mipaka na kuruhusu magari ya watalii ya Tanzania kufika kwenye viwanja vya ndege vya kenya na kuruhusu ndege za Kenya kutua kwenye airport ya TZ kama ilivyokua...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Gezaulole Kigamboni

    Contact: 0655 063923
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Gezaulole Kigamboni

    Kiwanya kinauza kigamboni gezaulole, kimepimwa na kina hati. Ni kwa matumizi ya jamii (public use) hivyo unaweza jenga shule, au ukimbi, au biashara yeyote. Ukubwa ni sqm 1240. Bei mil 40
  8. J

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza kuhusu LAPF

    Me nakaushauri nenda LAPF au ingia kwenye website yao , utapata habari za uhakika zaida, kuliko kuuliza humu!
  9. J

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete amtimua Waziri Anna Tibaijuka, adai kumuweka Kiporo Prof. Muhongo

    Leo, wakati rais anaongea na wazee pale dimond, nahisi alikua na nia ya kuwasafisha kina Tibaijuka na Muhongo!...lakini alipousoma upepo, akaamua kumtoa kafara Prof mmoja na mwingine kumuweka kiporo!!!?...Hongera kwa kuusoma upepo, we ni kiongozi wa uma, unapaswa kutekeleza matakwa ya uma
  10. J

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Nilihisi, na nilichokihisi ndo kinaelekea kutokea, vikao vyote ambavyo muheshimiwa rais uwa anaviandaa kuongea na wazee, huwa na lengo la kuisafisha na kuilinda serikali anayoisimamia.
Back
Top Bottom