Recent content by jelenga

  1. J

    M/kiti wa CCM Shinyanga, Khamis Mgeja na John Guninita wajivua uanachama CCM na kujiunga CHADEMA

    Ninachoamini ni kwamba, CCM sasa hivi washajua tayari kwamba, uwezekano wa kushinda ni mdogo sana, hivyo kikubwa wanachowaza sasa hivi ni namna ya kuiba kura. Walianza na vyombo vya ulinzi kuwataka waorodheshe taarifa zao za kadi za kura, na wamefanikiwa kuwabana, hivyo kuna uwezekano wa...
  2. J

    Kama hali ndio hii, nitajieni mkoa mmoja tu CCM itashinda kura za Urais, mmoja tu

    Umesahau Polisi, 90% ni Lowasa (Ukawa). Najua wengi hapa hamtaamini. Ukweli ni kwamba, Polisi wana hasira sana na CCM, wamewanyima ongezeko la posho ya chakula, badala yake wamewaongezea wanajeshi peke Yao. Polisi wameahidi kuzuia bao la mkono lililosemwa na Nape, vinginevyo wanajeshi wenyewe...
  3. J

    Mambo Nane Usiyojua kuhusu fedha yanayokufanya uendelee kuwa masikini

    Kaka umenikuna sana kuhusu hii mada,Kiyosaki namkubali sana, hiki kitabu nilikisoma nikaishia katikati, lakini ni kizuri sana. Anacho kingine kinaitwa CASH FLOW QUADRANT, ni mawazo mazuri sana. Ukiingia kwenye network marketing, lazima usome hivi vitabu, vinginevyo utaiona hiyo biashara kama ni...
  4. J

    Msaada: Elimu kuhusu uwekezaji kwenye hisa.

    Heshima kwenu wadau. Kwa muda mrefu nimekuwa nawaza jinsi gani niweze kuwekeza, na eneo mhimu la uwekezaji kutokana na sisi wenye vipato vidogo ni kwenye hisa. Naomba kueleweshwa zaidi juu ya hisa, kampuni ipi inatoa faida kubwa, nikianza na mtaji wa milioni 5,baada ya miaka 2 faida itakuwaje...
  5. J

    Watch Star TV: Mhe. Ridhiwani Jakaya Mrisho Kikwete Anahojiwa Live!

    Kaulizwa juu ya ishu ya kukamatwa na unga China, akasema katika maisha yake hajawahi kufika China. Kaulizwa ishu ya kutumia madaraka ya Baba yake kutake advantage ya vyeo ndani ya chama, kasema madaraka ya Baba yake hayahusiani kwa lolote na siasa zake. Nimekuja kumshangaa alipoulizwa...
  6. J

    Tabiri matukio magumu kutokea world cup 2014

    Combination ya Steering na Sturridge imekubali sana hapo mbele
  7. J

    Tabiri matukio magumu kutokea world cup 2014

    Mechi Tamu sana hii, piga nikupge
  8. J

    Mabasi ya Dar - Mwanza ni hatari!

    Kuna mdau mmoja ametaja gari la Leina, inaitwa LEINA TOURS, route ya DAR - KAHAMA, ni balaa tupu. Nshawahi kutoka Kahama sa 12 asbh, sa 1 jioni, tulikuwa foleni ya Ubungo, hilo basi linaovertake mpaka mashangingi.
  9. J

    Walimu wapya waahidiwa kuishi Kifalme mkoani Kigoma

    Mkuu TISA DISEMBA, nakubaliana na wewe mia kwa mia katika mawazo yako, wabongo ni wapga dili sana, hapo watu wanashangilia motisha, huku nyuma watu wanapga mpunga. Halafu eti kila siku watapata mgao wa samaki bure, thubutu, nimeishi huko kigoma, mha ni mbishi balaa.
  10. J

    Picha: Mkutano wa ACT jumapili jijini Mwanza ulivyododa,walizomewa,wahutubi aji wajaa jaziba watukana

    Hahahahahahahaaaaaa, mkuu Lymo umenifanya nicheke japo naumwa. Eti CCM inakifagilia kabla hata hakijaundwa, duuh! You made my day.
  11. J

    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    RICARDO KAKA, nakushukuru sana kaka, kuna watu humu jf wapo kwa ajili ya kutukana watu na siyo kuchangia hoja. Kaka hii michuano ya UEFA ya mwishoni mwa tisini kuja mwaka 2000 hadi katikati ya 2000 Kuna timu zilikuwa zinafanya maajabu sana, ikumbuke Man U ilivyotwaa taji mbele ya Bayern.
  12. J

    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Mkuu shifta Said, nahisi punguani ni mama yako aliyekuzaa, kwa vile hajakulea katika mazingira ya utu kwa watu.
  13. J

    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Siku zote kuharisha kwa kutumia mdomo hudhoofisha utu wa mtu. Huna haja ya kunishambulia mimi, shambulia hoja mkuu. Kukuonesha kwamba sijakurupuka, tembelea UEFA.COM, tafuta mechi ya robo fainali Kati ya timu hzo msimu huska. Then, usijione we ni bingwa wa matusi kwa wenzio, kama huna cha...
  14. J

    UCL: Deportivo la Coruna, timu iliyowahi kufanya maajabu

    Heshima nyingi sana kwenu wadau na wanazi wa soka hususani ulaya. Tukiwa tunasubiri kuangalia mtanange wa UEFA Leo,naomba niwakumbushe timu hii iliyopotea katika michuano hii na katika La liga pia, lakini iliwahi kutisha na kutikisa kigogo wa soka la ulaya wakati huo Katika msimu wa...
  15. J

    Watoto wa Kikwete, Pinda na Mawaziri wote wawe mfano katika halaiki.

    Asante sana mkuu, hii nchi tunachezewa akili sana na kuonekana kama wanasesere.
Back
Top Bottom