Recent content by Jeku

  1. J

    Natafuta kazi

    Ndugu yangu mimi popote nipo tayari
  2. J

    Natafuta kazi

    Naweza, mimi me
  3. J

    Natafuta kazi

    Amina
  4. J

    Natafuta kazi

    Amina
  5. J

    Natafuta kazi

    Elimu yangu ni form four Umri miaka 33 (me) Kazi yoyote ya halali popote Sifa ya ziada Najua kucheza na kompyuta kiasi fulani ingawa sina vyeti (sijasomea rasmi) Nina cheti cha ualimu Shule za msingi
  6. J

    Nasikia kelele za vijana wasiokuwa na mbele wala nyuma wakiupokea mwaka mpya

    Nje ya mada kidogo, Hivi mbona nikiangalia picha (AVATAR) zote zinafanana Kulikoni?
  7. J

    Yaaa Ilahi

    well done! jaribu kufanya maboresho hapo kwenye 'si mtu dhaifu' weka 'ni mtu dhaifu' ili ipendeze zaidi. nasema hivyo kwasababu hiki ulichoandika kipo katika mfumo wa dua; na taratibu za kuomba dua ni kukiri makosa na mapungufu yote tuliyonayo wanadamu, kumsifu mola kwa sifa nzuri nzuri zote za...
  8. J

    Ulinzi na usalama: Chamwino Ikulu, Dodoma

    Kuna kitu huwa najiuliza halafu sipati jibu, kwahiyo makelele na mavitu ya hovyo si rukhsa kwa baadhi ya maeneo ya watu ila ni ruksa kwa wengine? Yaani mfano mamiziki manene na makasino huko yanapowekwa na kuonekana ndiyo panafaa je hakuna wanayokerekwa kwayo? Jibu ni wapo ila wanashindwa kuzuia...
Back
Top Bottom