well done! jaribu kufanya maboresho hapo kwenye 'si mtu dhaifu' weka 'ni mtu dhaifu' ili ipendeze zaidi. nasema hivyo kwasababu hiki ulichoandika kipo katika mfumo wa dua; na taratibu za kuomba dua ni kukiri makosa na mapungufu yote tuliyonayo wanadamu, kumsifu mola kwa sifa nzuri nzuri zote za...