Hahahahahaha yeye katoa vigezo vyake nqmm kama mwanaume nataka anipe cv yake nikague ninachokitaka au ninachokitafuta kipo kwake ikiwemo kigezo cha elimu nk. Jokes tu
Ni sahihi kabisa ila waandishi wa habari nao wanatafuta habari current lkn hatupaswi kulaumu acha wafanye kazi yao kikubwa ni kuwaombea majeruhi wapate nafuu
Kwa kweli hili ni janga zito hapa sijui mwendazake aliwakosea nini hawa jamaa zaidi mimi nahisi aliwabana sana kwenye ulaji ndo mana hata akina kigogo walikuwa wanapiga sana kelele kumbe kigogo alikuwa mmoja kati ya wezi wa nchi hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.