Hi jf members,
Mtoto wangu ana mwezi 1 na wiki 2, usiku huwa anajisokota na kuanza kulia badae anatapika, hili limemtokea mara kwa mara, lakini usiku amesumbua sana kwa hali hiyo hadi nimeogopa,
Mwenye utalaamu na watoto wachanga tusaidiane
Hi jf
ndugu yangu mpnz wake ni mjamzito, leo ameenda clinic wamemchukua HIV test akambiwa hana maambukizi na pia VDRL (test for syphilis) akakuta, Kwenye card ya clinic kandikiwa PMTCT 2, VDRL ameandkiwa NR(Non Reactive maana ake hana syphilis) , rh factor postive na blood group O, kumbe jamaa...
Huyo ni tapeli mkubwa, anaitwa mr. mgona kwa mjibu wa maelezo yake anajifanya yuko ofsi kuu ya utumishi, alitaka kumlaghai dogo langu eti amtoe shule anayofundisha ampeleke halmashaur akafanye kazi, akukuta dogo toto la mjini akatushirikisha kidogo tumkamate bt aliponea chupuchpu
NB...
Akili zako ndo zimeishia hapo kufikiri siwez kukulaumu, kumbuka hata philosophers wanatoa theories ndo maana nami nikatoa mtazamo wangu, i'm agreat thinker ndo maana nkatumia jina la cognivist huyu
Naona comment nyingi za wadada wa humu wanahalalisha k iwe biashara kama biashara zingine, maana wangejua defination ya biashara wasingethubutu kucomment as they do, mmh! Ila wanajidharirisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.