Recent content by j'cob mushi

  1. j'cob mushi

    HEKIMA YA JIONI: Mtazamo Wako ndio Unaamua Ugumu au Urahisi wa Kitu

    #Ni kweli Maisha hayajawahi kuwa marahisi ila kuna sehemu unaweza kuwa unazidisha ugumu wewe mwenyewe. “Pale ambapo wewe ni Mjinga Ndipo Wengine Wanakufaidi” #Ni kweli huwezi kujua kila kitu na ndio maana kwa vile vitu ambavyo huvijui lazima ulipie gharama za kujua. Bahati mbaya sana wengi...
  2. j'cob mushi

    HEKIMA YA JIONI: Mtazamo Wako ndio Unaamua Ugumu au Urahisi wa Kitu

    #HEKIMA YA LEO : Ushindi Mdogo ni Ushindi Mkubwa. Usidharau Kile kidogo unachokifanya. Daudi alijua kwamba anaweza kumpiga Goliath baada ya kutazama kule alipokuwa. Kujaribu kwake kupambana na dubu kulimpa nguvu kwamba hata Goliath si kitu mbele yake. Ushindi mdogo mdogo unaopata kila siku...
  3. j'cob mushi

    HEKIMA YA JIONI: Mtazamo Wako ndio Unaamua Ugumu au Urahisi wa Kitu

    Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU...
  4. j'cob mushi

    HEKIMA YA JIONI: Mtazamo Wako ndio Unaamua Ugumu au Urahisi wa Kitu

    Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya maisha yetu yawe bora zaidi. Jisemeshe maneno haya kabla hujatoka kwenda kufanya chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU...
  5. j'cob mushi

    HEKIMA YA JIONI: Mtazamo Wako ndio Unaamua Ugumu au Urahisi wa Kitu

    Habari Rafiki, Leo ni siku nyingine tena ambayo tumepewa kama zawadi kwa ajili ya kwenda kuyafanya Maisha yetu yawe bora Zaidi. Jisemeshe Maneno Haya Kabla Hujatoka Kwenda kufanya Chochote. “NACHUKUA HATUA, NAJIFUNZA, NAWEKA JUHUDI NA BIDII, NAVUMILIA. MAFANIKIO NI HAKI YANGU, EEH MUNGU...
  6. j'cob mushi

    HEKIMA YA JIONI: Mtazamo Wako ndio Unaamua Ugumu au Urahisi wa Kitu

    Mtazamo ni vile ambavyo mtu amejengewa au amejijengea maana fulani au imani fulani juu ya jambo fulani. Mtazamo waweza kutengenezwa kutokana na mazingira unayoishi vitu unavyosoma, kutazama na kufuatilia. Mtazamo pia unaweza kutengenezwa na aina ya watu unaojihusisha nao kila siku. Mfano unakaa...
  7. j'cob mushi

    Kitu chochote kilichopita kimeshapita

    PAST IS ALWAYS PAST FORGET ABOUT IT. By Mushi Jacob. Kitu chochote kilichopita kimeshapita. Kiwe kizuri au kibaya kimeshapita. Kwanini nasema hivyo? Watu wanajikuta wanarudi nyuma Kwasababu ya mambo yaliyopita. Inawezekana mambo haya ni mazuri sana pia yakakurudisha nyuma. Wana wa Israel...
  8. j'cob mushi

    Onyesha upendo, kosoa, pongeza

    Usisubiri mtu afe ndio umpost mtandaoni na kuandika Rest In Peace my lovely Friend. [emoji22] Wakati yupo hai ndio wakati sahihi wa kuonyesha ni your lovely friend kwake na kwa wengine. [emoji53] Usikimbilie kumlaumu, kukosoa, kutukana mtu kwa kosa lolote alilolifanya wakati hujawahi kumsifia...
  9. j'cob mushi

    Faida ya kukamatwa kwa mkurugenzi wa JF kwa JF

    Mimi niliandika mods wakaitoa
  10. j'cob mushi

    Una kitu cha pekee ndani yako

    Nionyeshe kitu cha thamani kinachopatikana bila gharama nikakifanye
  11. j'cob mushi

    Una kitu cha pekee ndani yako

    Usijidanganye Ukweli ni Huu.. Soma hapa... Usijidanganye Ukweli ni Huu. - Jacob Mushi
  12. j'cob mushi

    Una kitu cha pekee ndani yako

    HIZI NDIO TAARIFA ZINAZOPOFUA MACHO YAKO YA NDANI. SHARE NA WENZAKO WAJIFUNZE PIA
  13. j'cob mushi

    Una kitu cha pekee ndani yako

    Kitu cha Kwanza na Muhimu Kukijua wewe Kama Mwanaume. Share na wenzako wajifunze.
  14. j'cob mushi

    Una kitu cha pekee ndani yako

    Kitu cha Kwanza na Muhimu Kukijua wewe Kama Mwanaume. Share na wenzako wajifunze.
  15. j'cob mushi

    Una kitu cha pekee ndani yako

    Kitu cha Kwanza na Muhimu Kukijua wewe Kama Mwanaume. Share na wenzako wajifunze. Bonyeza hapa kusoma...... Kitu cha kwanza na Muhimu kukijua wewe Kama Mwanaume - Jacob Mushi
Back
Top Bottom