Hata mm naungana na ww! Hiyo ni bawasiri na nilipona kama ww kupitia uzi wa jamaa flani aliwahi kuandika hum hum jf. Siukumbuki vzr huo uzi ila akiutafuta ataupata, maelezo ya uzi nayakumbuka na nimekua nikishauri watu wengi tu kutumia hiyo dawa na wanapona. Unaweza ukateseka sana alafu ukaja...
Mambo vipi wadau!
Naomba mchango wenu kimawazo kuhusu simu yenye camera nzuri kwa ajili ya matumizi ya kupigia picha na video za kupost kwenye page yangu ya biashara ya instagram, tiktok na mitandao mingine ya kijamii.
Ni Biashara ya salon ya kike, na kama mnavojua biashsra hii picha zina...
Kwa juhudi na kumuomba Mungu, nina imani mambo haya nitayatimiza mwaka huu 2026. Jua liwake mvua inyeshe inabid niyatimize kwa namna yoyote...
1: Kuimarika kiroho,
Natamani kuwa karibu na Mungu wangu zaid mwaka huu kuliko kuliko chchte. Amekua akinionekania kwenye mambo mengi sana hivo...
Nadhani hujasoma vzr mkuu nilichoandika. Shule aliochaguliwa yeye ni ZANZULI sio ZUNZULI unayoisema ww. Na wameonyesha ipo wilaya ya Shinyanga mjini (Shinyanga DC) sio Solwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.