Hili tatizo limekuwa kero kwa wanajamii wengi, na dawa yake imekuwa taabu kuijua. Wengi wamezunguka mahospitalini hadi kwa waganga lakini hawakufanikiwa kupata dawa yake. Ukiwa kama mwanaharakati wa pro-life naomba maoni yako..
My Best Collection, naona mkali umeamua kuupandisha mzuka wangu wa zamani kipindi hicho daaaah usipime, hizi tamthilia nilikuwa sizimiss even a single day;
1. PASSION
2. LA MUJER DA MIVIDA
Don't touch dat diary, hata zirudiwe mara ngapi huzichoki...!
Yaani kwenye Internet inaonyesha dhahiri shahiri kwamba watu wanaruhusiwa kupeleka maombi ya kazi, hadi deadline wameweka kwenye website ya zoom na ya kwao... cha kushangaza nafika wizarani naambiwa hakuna kitu kama hicho, yaani bado saaana mpaka wabandike kwenye ubao wa matangazo kwamba...
Yes, dat is the point I was waiting for...Asilimia kubwa ya Matajiri wa Kibongo ni wa Binafsi mno, hawana mpango wa kuwanufaisha wengine kupitia mgongo wao...unless uwe mtu wake wa karibu saaaaaaana! Hata ukimchunguza huyo tajiri aliyekufa utaona its a true fact!
Hiyo inahusu saaaaaaaana!, yaan hapa nlpo kushnei mshahara wangu wote umekwisha hakuna nilichokifanya duuuuuh! Hawa wagwenoooooooooooooooooooo noooooooooooooooooooomaaaaaaaah!!:dizzy:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.