Katika hali ya kushangaza, matokeo ya utafiti wa TWAWEZA uliokusanya maoni ya wananchi yameonesha kuwa waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda maarufu mtoto wa mkulima amewapiku makada wengi wa CCM walioanza mapema mbio za urais.
Kwa mujibu wa TWAWEZA, kama uchaguzi ungefanyika leo Pinda...
Urafik wa watu na uhusiano msipende kugeuza kuwa jukwaa la kisiasa.hata hivyo juhudi hizi zenu za kuchafuana zimeendelea lengo ni kuwa kujenga dhana potofu kwamba edward ameanza kampeni na kujitengenezea kundi lake kabla ya wakati.lkn ukwel ni kwamba ni upofu wa fikra na uoga kujenga mazingira...
Crashwise
Ukiwa mwongo basi jifunze kuwa na kimbukumbu pia.ili angalau watu wakuelewe kidogo na hii ndio shida ya kutumika .naamini ungekuwa unaadika haya kwa utashi wako basi angalau ungejipa walau muda mdogo tu ya kutafuta ukweli wa stori yenyewe lkn kwa kuwa unatimiza tu yale unayo ambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.