Japo alijiuzulu, Mhe. Edward Lowassa kuitwa Waziri Mkuu Mtaafu ni Sawa, Haki na anastahili!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,503
113,616
Wanabodi,
IMG-20240216-WA0113.jpg

Jana katika maadhimisho ya miaka 53, Mhe. Edward Lowassa alitajwa na watangazaji wetu kama Waziri Mkuu Mstaafu.

Kwa vile Lowasa hakustaafu kwa mujibu wa sheria, bali alijiuzulu, hivyo everytime anapokuwa addressed kama Mstaafu, kuna watu roho zao zinawauma, wangependa aitwe "Waziri Mkuu Mjiuzulu!", na from time to time zinaibuliwa topic humu kuuliza hivi mjizulu naye ni mstaafu?!.

Nakiri kuanzisha uzi huu baada ya kuwa inpired na mwana jf huyu wa hii topic, Ni halali ndg Edward Lowassa kuitwa 'Waziri Mkuu mstaafu'?
Wana Jf habari zenu,huwa nafikiria ni kwa nini lowassa anaitwa waziri mkuu mstafu huku aliondoka ktk cheo hicho kutokana na skendo za rushwa?.ustaafu wake unakuwa vp? Naomba kufahamishwa.

Lugha yetu ya Kiswahili, ina upungufu wa misamiati, hivyo mtu aliyejuizulu, anaitwa mstaafu, mtu aliye staafu, anaitwa mstaafu, na mtu aliye ngatuka anaitwa mstaafu!.

Tafsiri ya wengi wanadhani ili kuitwa mstaafu, ni lazima utumikie hicho cheo hadi muda rasmi wa kustaafu utimie!, no way!, hata ukihudumu kwenye uwaziri mkuu kwa siku moja, kesho yake ukatimuliwa kazi, bado utaitwa ni waziri mkuu mstaafu,

Ila kwa vile lugha inakuwa, tunaweza kabisa kutunga msamiati wa Mjiuzulu, Mstaafishwa, na hata Mtimuliwa!.

Baba wa Taifa aliitwa Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, hakumaliza muda wake, alingatuka!, hivyo badala ya kuitwa Mwenyekiti Mstaafu, angeitwa "Mwenyekiti Mngatuka!", Nyerere ndiye alikuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Tanganyika huru, ile December, 1961 tulipopata uhuru, ilipofika 1962, nchi yetu ikawa Jamhuri, hivyo Nyerere kwanza alijiuzulu uwaziri mkuu, ndipo akawa rais wa Tanganyika, lakini hakuna msamiati wa "Waziri Mkuu mjiuzulu", aliitwa ni Waziri Mkuu mstaafu!.

Sokoine hakustaafu, alifariki akiwa kazini, kwenye listi ya mawaziri wakuu wastaafu, jina la Moringe Sokoine lipo, hakuna msamiati wa "Waziri Mkuu Mfariki",

EL alijiuzulu mwenyewe kwa nafsi yake, hivyo ni mstaafu kama wengine!,

Na kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, hebu pitieni hapa!.

[/SIZE]
Waziri Kiongozi wa Tanganyika
JinaAmechukua OfisiAmeondoka OfisiniChama
Julius Kambarage Nyerere2 Septemba 19601 Mei 1961TANU
Mawaziri Wakuu wa Tanganyika
Julius Kambarage Nyerere1 Mei 196122 Januari 1962TANU
Rashidi Kawawa22 Januari 19629 Desemba 1962TANU
Nafasi Zilizoondolewa Tangu (9 Desemba 1962-17 Februari 1972)
Mawaziri Wakuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rashidi Kawawa17 Februari 197213 Februari 1977TANU
Edward Moringe Sokoine13 Februari 19777 Novemba 1980CCM
Cleopa David Msuya7 Novemba 198024 Februari 1983CCM
Edward Moringe Sokoine24 Februari 198312 Aprili 1984CCM
Salim Ahmed Salim24 Aprili 19845 Novemba 1985CCM
Joseph Sinde Warioba5 Novemba 19859 Novemba 1990CCM
John Malecela9 Novemba 19907 Desemba 1994CCM
Cleopa David Msuya7 Desemba 199428 Novemba 1995CCM
Frederick Sumaye28 Novemba 199530 Desemba 2005CCM
Edward Ngoyai Lowassa30 Desemba 20057 Februari 2008CCM
Mizengo Pinda9 Februari 2008
CCM
Kawawa aliachia kabla ya muda wake, na bado iliitwa Waziri Mkuu Msataafu!.
Msuya aliondolewa!, lakini bado anaitwa Msaafu!,
Malecela aliondolewa tena kwa kuboronga!, lakini bado anaitwa mstaafu!,

Full term ya PM ni miaka 5, hivyo mawaziri wakuu waliohudumu kwa full term ni wawili 2, Sinde Warioba na Sumaye, ambao hawa ndio wangeitwa Wataafu" halali, wengine wote ama walijiuzulu, walingolewa, walipumzishwa, walistaafishwa etc!.

Neno mstaafu kwa mujibu wa full term kwa Kiingereza ni retired, kwa kiswahili ni Mstaafu.
Kiingereza ukijiuzulu kama alivyojiuzulu EL aliitwa "Resigned", kwa Kiswahili ni Mtaafu.

Waziri Mkuu aliyetimuliwa kama Malecela, Kiingereza wangemuitwa "Sucked PM", Kiswahili ni Mstaafu.

Kawawa, Msuya na Salim, walipumzishwa, Kiingereza wangeitwa "Dropped!", Kiswahili ni wastaafu!.

Ila pia kujifurahisha nafsi yako kupo na ni ruksa unaweza kumuita vyovyote vile ili nafsi yako ifurahi, kama wale waliomua kujifarahisha kwa kujidai hawamtambui JK kama ni rais wa JMT!, mtu akiisha tangazwa kuwa ni rais, that is a fact, umtambue, usimtambue, its not gonna change the fact kuwa ndie rais!.

The fact is, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa, ni Waziri Mkuu Mtaafu wa Tanzania!.

Kubali, kataa, it never gonna change cha facts!. Facts will remain facts!.

Pasco

NB. Mode, kule lilikuwa swali, hii topic sio swali ni factual!.
 
Mkuu naona umefurahi Sana Jana kumuona maana kuna watu walizusha kalazwa ujerumani
 
huyo mtu wenu akipata huo urais iyo nafasi ya Salva sijui atampa nani kati yako na Abubakar Lyongo,kazi anayo labda wewe utakuwa DC.
 
kwa ufupi pasco unaweza kuwa na matatizo na lugha ya kiswahili

kuna tofauti kati ya kustaafu na kutimuliwa, uncle wangu alifanya kazi Bank kuu kwa miaka 30 na muda ulifika akafanyiwa pati kubwa ya kustaafu. ukija kwa lowassa yeye alitimuliwa uwaziri kwa kashfa, ukijiuzulu katikati ya dhoruba unakuwa umejiuzulu kwa kulazimishwa kwahiyo kwa mfanyakazi wa chini ambao uwa hawaheshimiwi basi ufukuzwa lakini wakubwa kufukuzwa kwao ni kupewa loop hole ya kutangaza kujiuzulu wewe mwenyewe ili kulinda wadhifa wa kila cheo kwahiyo tunaweza sema bila dispute yeyote kuwa Lowassa alikuwa hajapanga kuwa waziri mkuu wa miaka 3 ila madhila ilimkuta akalazimishwa kujiuzulu in a strong term he was fired.

kuna tofauti kati volunteer resignation na forced resignation(fired) katika makundi hayo mawili unajua lowassa yuko upande upi.
 
Lowassa ni Waziri Mkuu wa zamani.

Mstaafu kastaafu lini?

Unatetea kitusicho kwa sababu hatuna msamiati?

What kind of delusional denial is this?
 
Naona watetezi wa lowasa wanapambana kuhakikisha bwana wao anakubalika kama waziri mkuu mstaafu! Ukweli utabaki ukweli, lowassa hakustaafu, bali alijiuzulu..sidhani kama wafanyakazi wa umma wakifukuzwa kazi wataitwa wastaafu kamwe. Any way kwa vile ndani ya ccm lolote linawezekana, tuache kama ilivyo!
 
Mkuu Pasco nakuheshimu sana. Lakini kwa hili umeteleza. Kiswahili kina utajiri wa kutosha wa misamiati. Kuna mstaafu,mjiuzulu,wa zamani na kadhalika. Ushabiki wako usikupelekeshe.

Naona leo umeamka kumpigia debe fisadi wako Lowassa. Endelea lakini uwe makini na matumizi ya lugha. Kustaafu ni kukoma kisheria au kwa hiyari kulingana na kipindi husika.

Lowassa ni Waziri Mkuu wa zamani au Waziri Mkuu mjiuzulu. Si Waziri Mkuu mstaafu. Mwakani utamkimbia huyo fisadi wako.
 
Last edited by a moderator:


IMG_7973.jpg

Wanabodi,

Jana katika maadhimisho ya miaka 53, Mhe. Edward Lowassa alitajwa na watangazaji wetu kama Waziri Mkuu Mstaafu.

Kwa vile Lowasa hakustaafu kwa mujibu wa sheria, bali alijiuzulu, hivyo everytime anapokuwa addressed kama Mstaafu, kuna watu roho zao zinawauma, wangependa aitwe "Waziri Mkuu Mjiuzulu!", na from time to time zinaibuliwa topic humu kuuliza hivi mjizulu naye ni mstaafu?!.

Nakiri kuanzisha uzi huu baada ya kuwa inpired na mwana jf huyu wa hii topic, Ni halali ndg Edward Lowassa kuitwa 'Waziri Mkuu mstaafu'?


Lugha yetu ya Kiswahili, ina upungufu wa misamiati, hivyo mtu aliyejuizulu, anaitwa mstaafu, mtu aliye staafu, anaitwa mstaafu, na mtu aliye ngatuka anaitwa mstaafu!.

Tafsiri ya wengi wanadhani ili kuitwa mstaafu, ni lazima utumikie hicho cheo hadi muda rasmi wa kustaafu utimie!, no way!, hata ukihudumu kwenye uwaziri mkuu kwa siku moja, kesho yake ukatimuliwa kazi, bado utaitwa ni waziri mkuu mstaafu,

Ila kwa vile lugha inakuwa, tunaweza kabisa kutunga msamiati wa Mjiuzulu, Mstaafishwa, na hata Mtimuliwa!.

Baba wa Taifa aliitwa Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, hakumaliza muda wake, alingatuka!, hivyo badala ya kuitwa Mwenyekiti Mstaafu, angeitwa "Mwenyekiti Mngatuka!", Nyerere ndiye alikuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Tanganyika huru, ile December, 1961 tulipopata uhuru, ilipofika 1962, nchi yetu ikawa Jamhuri, hivyo Nyerere kwanza alijiuzulu uwaziri mkuu, ndipo akawa rais wa Tanganyika, lakini hakuna msamiati wa "Waziri Mkuu mjiuzulu", aliitwa ni Waziri Mkuu mstaafu!.

Sokoine hakustaafu, alifariki akiwa kazini, kwenye listi ya mawaziri wakuu wastaafu, jina la Moringe Sokoine lipo, hakuna msamiati wa "Waziri Mkuu Mfariki",

EL alijiuzulu mwenyewe kwa nafsi yake, hivyo ni mstaafu kama wengine!,

Na kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, hebu pitieni hapa!.

Waziri Kiongozi wa Tanganyika
JinaAmechukua OfisiAmeondoka OfisiniChama
Julius Kambarage Nyerere2 Septemba 19601 Mei 1961TANU
Mawaziri Wakuu wa Tanganyika
Julius Kambarage Nyerere1 Mei 196122 Januari 1962TANU
Rashidi Kawawa22 Januari 19629 Desemba 1962TANU
Nafasi Zilizoondolewa Tangu (9 Desemba 1962-17 Februari 1972)
Mawaziri Wakuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rashidi Kawawa17 Februari 197213 Februari 1977TANU
Edward Moringe Sokoine13 Februari 19777 Novemba 1980CCM
Cleopa David Msuya7 Novemba 198024 Februari 1983CCM
Edward Moringe Sokoine24 Februari 198312 Aprili 1984CCM
Salim Ahmed Salim24 Aprili 19845 Novemba 1985CCM
Joseph Sinde Warioba5 Novemba 19859 Novemba 1990CCM
John Malecela9 Novemba 19907 Desemba 1994CCM
Cleopa David Msuya7 Desemba 199428 Novemba 1995CCM
Frederick Sumaye28 Novemba 199530 Desemba 2005CCM
Edward Ngoyai Lowassa30 Desemba 20057 Februari 2008CCM
Mizengo Pinda9 Februari 2008
CCM
Kawawa aliachia kabla ya muda wake, na bado iliitwa Waziri Mkuu Msataafu!.
Msuya aliondolewa!, lakini bado anaitwa Msaafu!,
Malecela aliondolewa tena kwa kuboronga!, lakini bado anaitwa mstaafu!,

Full term ya PM ni miaka 5, hivyo mawaziri wakuu waliohudumu kwa full term ni wawili 2, Sinde Warioba na Sumaye, ambao hawa ndio wangeitwa Wataafu" halali, wengine wote ama walijiuzulu, walingolewa, walipumzishwa, walistaafishwa etc!.

Neno mstaafu kwa mujibu wa full term kwa Kiingereza ni retired, kwa kiswahili ni Mstaafu.
Kiingereza ukijiuzulu kama alivyojiuzulu EL aliitwa "Resigned", kwa Kiswahili ni Mtaafu.

Waziri Mkuu aliyetimuliwa kama Malecela, Kiingereza wangemuitwa "Sucked PM", Kiswahili ni Mstaafu.

Kawawa, Msuya na Salim, walipumzishwa, Kiingereza wangeitwa "Dropped!", Kiswahili ni wastaafu!.

Ila pia kujifurahisha nafsi yako kupo na ni ruksa unaweza kumuita vyovyote vile ili nafsi yako ifurahi, kama wale waliomua kujifarahisha kwa kujidai hawamtambui JK kama ni rais wa JMT!, mtu akiisha tangazwa kuwa ni rais, that is a fact, umtambue, usimtambue, its not gonna change the fact kuwa ndie rais!.

The fact is, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa, ni Waziri Mkuu Mtaafu wa Tanzania!.

Kubali, kataa, it never gonna change cha facts!. Facts will remain facts!.

Pasco

NB. Mode, kule lilikuwa swali, hii topic sio swali ni factual!.

Yote hii ni kuhalalisha aitwe mstaafu? Ila wewe nae eti lawyer, nini maana ya "sucked", msaka tonge.
 
Pasco unakosea sana unaposema Lowassa alijiuzulu kwa hiyari yake kuna kitu kilitokea, mwenyewe ktk acount yake ya tweeter anapingana na wewe kwani alipokuwa anatoa maoni yake kuhusu escrow alisema na paraphrase nilipokuwa nafukuzwa hakuna aliyenitetea lakini leo hii watu wanatetea wezi waziwazi. kwahiyo mpigie simu umwambie bosi wako kuwa alikosea kusema katimuliwa bali alistaafu
 


IMG_7973.jpg

Wanabodi,

Jana katika maadhimisho ya miaka 53, Mhe. Edward Lowassa alitajwa na watangazaji wetu kama Waziri Mkuu Mstaafu.

Kwa vile Lowasa hakustaafu kwa mujibu wa sheria, bali alijiuzulu, hivyo everytime anapokuwa addressed kama Mstaafu, kuna watu roho zao zinawauma, wangependa aitwe "Waziri Mkuu Mjiuzulu!", na from time to time zinaibuliwa topic humu kuuliza hivi mjizulu naye ni mstaafu?!.

Nakiri kuanzisha uzi huu baada ya kuwa inpired na mwana jf huyu wa hii topic, Ni halali ndg Edward Lowassa kuitwa 'Waziri Mkuu mstaafu'?


Lugha yetu ya Kiswahili, ina upungufu wa misamiati, hivyo mtu aliyejuizulu, anaitwa mstaafu, mtu aliye staafu, anaitwa mstaafu, na mtu aliye ngatuka anaitwa mstaafu!.

Tafsiri ya wengi wanadhani ili kuitwa mstaafu, ni lazima utumikie hicho cheo hadi muda rasmi wa kustaafu utimie!, no way!, hata ukihudumu kwenye uwaziri mkuu kwa siku moja, kesho yake ukatimuliwa kazi, bado utaitwa ni waziri mkuu mstaafu,

Ila kwa vile lugha inakuwa, tunaweza kabisa kutunga msamiati wa Mjiuzulu, Mstaafishwa, na hata Mtimuliwa!.

Baba wa Taifa aliitwa Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, hakumaliza muda wake, alingatuka!, hivyo badala ya kuitwa Mwenyekiti Mstaafu, angeitwa "Mwenyekiti Mngatuka!", Nyerere ndiye alikuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Tanganyika huru, ile December, 1961 tulipopata uhuru, ilipofika 1962, nchi yetu ikawa Jamhuri, hivyo Nyerere kwanza alijiuzulu uwaziri mkuu, ndipo akawa rais wa Tanganyika, lakini hakuna msamiati wa "Waziri Mkuu mjiuzulu", aliitwa ni Waziri Mkuu mstaafu!.

Sokoine hakustaafu, alifariki akiwa kazini, kwenye listi ya mawaziri wakuu wastaafu, jina la Moringe Sokoine lipo, hakuna msamiati wa "Waziri Mkuu Mfariki",

EL alijiuzulu mwenyewe kwa nafsi yake, hivyo ni mstaafu kama wengine!,

Na kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, hebu pitieni hapa!.

Waziri Kiongozi wa Tanganyika
JinaAmechukua OfisiAmeondoka OfisiniChama
Julius Kambarage Nyerere2 Septemba 19601 Mei 1961TANU
Mawaziri Wakuu wa Tanganyika
Julius Kambarage Nyerere1 Mei 196122 Januari 1962TANU
Rashidi Kawawa22 Januari 19629 Desemba 1962TANU
Nafasi Zilizoondolewa Tangu (9 Desemba 1962-17 Februari 1972)
Mawaziri Wakuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rashidi Kawawa17 Februari 197213 Februari 1977TANU
Edward Moringe Sokoine13 Februari 19777 Novemba 1980CCM
Cleopa David Msuya7 Novemba 198024 Februari 1983CCM
Edward Moringe Sokoine24 Februari 198312 Aprili 1984CCM
Salim Ahmed Salim24 Aprili 19845 Novemba 1985CCM
Joseph Sinde Warioba5 Novemba 19859 Novemba 1990CCM
John Malecela9 Novemba 19907 Desemba 1994CCM
Cleopa David Msuya7 Desemba 199428 Novemba 1995CCM
Frederick Sumaye28 Novemba 199530 Desemba 2005CCM
Edward Ngoyai Lowassa30 Desemba 20057 Februari 2008CCM
Mizengo Pinda9 Februari 2008
CCM
Kawawa aliachia kabla ya muda wake, na bado iliitwa Waziri Mkuu Msataafu!.
Msuya aliondolewa!, lakini bado anaitwa Msaafu!,
Malecela aliondolewa tena kwa kuboronga!, lakini bado anaitwa mstaafu!,

Full term ya PM ni miaka 5, hivyo mawaziri wakuu waliohudumu kwa full term ni wawili 2, Sinde Warioba na Sumaye, ambao hawa ndio wangeitwa Wataafu" halali, wengine wote ama walijiuzulu, walingolewa, walipumzishwa, walistaafishwa etc!.

Neno mstaafu kwa mujibu wa full term kwa Kiingereza ni retired, kwa kiswahili ni Mstaafu.
Kiingereza ukijiuzulu kama alivyojiuzulu EL aliitwa "Resigned", kwa Kiswahili ni Mtaafu.

Waziri Mkuu aliyetimuliwa kama Malecela, Kiingereza wangemuitwa "Sucked PM", Kiswahili ni Mstaafu.

Kawawa, Msuya na Salim, walipumzishwa, Kiingereza wangeitwa "Dropped!", Kiswahili ni wastaafu!.

Ila pia kujifurahisha nafsi yako kupo na ni ruksa unaweza kumuita vyovyote vile ili nafsi yako ifurahi, kama wale waliomua kujifarahisha kwa kujidai hawamtambui JK kama ni rais wa JMT!, mtu akiisha tangazwa kuwa ni rais, that is a fact, umtambue, usimtambue, its not gonna change the fact kuwa ndie rais!.

The fact is, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa, ni Waziri Mkuu Mtaafu wa Tanzania!.

Kubali, kataa, it never gonna change cha facts!. Facts will remain facts!.

Pasco

NB. Mode, kule lilikuwa swali, hii topic sio swali ni factual!.

Yote hii ni kuhalalisha aitwe mstaafu? Ila wewe nae eti lawyer, nini maana ya "sucked", unataka kutufundisha kiswahili, eti resigned ni sawa na kustaafu, acha kuwa msaka tonge.
 
Pasco, wewe ni mmojawapo wa members wakongwe hapa JF, lakini inapofika suala la Lowassa unajitoa akili. Hivi mmetengeneza hiyo picha ili iweje? Ina maana kukaa karibu na Kikwete tayari hiyo ni score kisiasa?

Acha kulazimisha mambo, Lowasaa sio waziri mkuu mstaafu.

Tiba
 
account yako imevamiwa?.....uwezo wako wa kutoa hoja nzito na zenye mshiko unazidi kupungua kwa kweli...hivi walau ulijaribu kuingia jukwaa la lugha kupata ufafanuzi kabla ya kutoa hii mada??
 
Back
Top Bottom