Mkuu maeneo ayo amna mtu aliye funga CCTV camera? I mean kama hao jamaa walikatiza sehemu yenye camera ni rahisi uyo binti kuwatambua akionyeshw video au picha zao
I just found this on AliExpress:
TZS236,328.87 | Super AMOLED Black 6.55 Inch For Oppo Realme GT Explorer Master RMX3366 LCD Display Screen Touch Digitizer Assembly Replacement
https://a.aliexpress.com/_EIppeAc
Simu yangu aina ya realme GT master explorer imechora green line..sasa nilichek mtandaoni nikaona wanasema ni restore lkn nimefanya ivyo lkn tatzo liko pale pale, msaada wadau wenye ujuzi na hii issue
Biblia inajikamilisha kuanzia agano la kale na jipya , ndo maana kitabu cha Isaya kimeongelea maisha ya Yesu Kristo before Yesu ajazaliwa kwa uweza wa Roho mtakatifu.
Wagalatia 4:30 SRUV
[30] Lakini lasemaje andiko? Mfukuze mjakazi na mwanawe, kwa maana mwana wa mjakazi hatarithi kabisa pamoja na mwana wa muungwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.