HABARI ZA ASUBUHI WADAU?
Naomba kufahamu kana M-pesa MasterCard inaweza ku-deposite na ku-withdraw kwenye 1×bet?
Na Kama inawezekana,je,kwa sis tuliofanya registration hapo awali kwa namba ya simu unafanya nn?
Mkuu ninavyofaham ni kuwa aina yoyote ya sumu ya nyoka ina "antidote". Kuna antidote specific kwa aina fulani ya sumu na antidotes zingine ni za jumla.
Mara nyingine sio lazima kutumia antidote bali wataalam wa afya hutumia njia zingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.