Hyo option ya pili ulochukua HAIJAWAHI kumwacha mtu salama kiriho wala kimwil had kifo.....hasa kwa ss wanaume..........na huyo ni option ya Simps zao la Oneitis...................solution ni African polygamous culture
Hongera kwa kupata mwenye adhali ,lakin pia nikuhase ndugu yang ili baadae Udine ukafa kabla ya cku zako........
Usiwe comfortable sana na hyo uliyenae kwasasa mana kila mwanamke ana vimbwanga vyake hvyo usisherehekee sana... na hyo nadhan kwa kuwa ulikosa hzo raha unazopata kwa...
Naamin kila jambo hutokea kwasabab ya dhat kabsa, Mr. Robby sometimes upepo maisha huathiri uelekeo wa maono ya mtu......so siamin wala kujutia hlo still on track to maintain my frame.....mana mwanamke ni ziada Kwa mwanaume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.