Recent content by Jay10

  1. Jay10

    Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

    hongera japo hakuna jipya chin ya Jua
  2. Jay10

    Chaguzi mbili kuu pale unapogundua mkeo anakusaliti

    Hyo option ya pili ulochukua HAIJAWAHI kumwacha mtu salama kiriho wala kimwil had kifo.....hasa kwa ss wanaume..........na huyo ni option ya Simps zao la Oneitis...................solution ni African polygamous culture
  3. Jay10

    Mke wangu wa zamani alikuwa pasua kichwa, nilimuacha nikaoa mwingine sasa nina furaha

    Hongera kwa kupata mwenye adhali ,lakin pia nikuhase ndugu yang ili baadae Udine ukafa kabla ya cku zako........ Usiwe comfortable sana na hyo uliyenae kwasasa mana kila mwanamke ana vimbwanga vyake hvyo usisherehekee sana... na hyo nadhan kwa kuwa ulikosa hzo raha unazopata kwa...
  4. Jay10

    Kataa ndoa ni hazina ya kesho

    Sisi ambao tumeshaingia hlo chaka.....na tunataka kusapot hii kampen mnatumbiaje?!
  5. Jay10

    Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wenye wanawake wengine

    ukitaka wako peke yako itakubid umuumbe Joanah
  6. Jay10

    Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wenye wanawake wengine

    Kuna ukwel kias flan 60% au zaid
  7. Jay10

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Ndipo nilipo.
  8. Jay10

    Mtu yoyote aliyewahi kuishi na mwanamke/mwanaume na kuunda familia Hawezi kuwekwa katika Kundi la Kataa Ndoa

    Naamin kila jambo hutokea kwasabab ya dhat kabsa, Mr. Robby sometimes upepo maisha huathiri uelekeo wa maono ya mtu......so siamin wala kujutia hlo still on track to maintain my frame.....mana mwanamke ni ziada Kwa mwanaume
Back
Top Bottom