Recent content by jay pelle

  1. jay pelle

    Nafasi ya Sekta binafsi kwenye uchumi wetu

    Hapa nimepata elimu nyingi sana 👍👊
  2. jay pelle

    Employee Share Option Plan-Mfumo wa malipo kupitia Haki za Umiliki(HISA)

    na me nasubir hii elimu nipate mwanga
  3. jay pelle

    SoC01 Njia zinazotumiwa na wezi wa mitandaoni (cyber criminals) na jinsi ya kuzuia

    Please, You can vote ✅ if you you think this is useful.
  4. jay pelle

    SoC01 Njia zinazotumiwa na wezi wa mitandaoni (cyber criminals) na jinsi ya kuzuia

    Miaka kadhaa nyuma wahalifu wa mitandaoni walilenga sana Computers aina ya desktop na laptops kwani shughuli nyingi za kifedha zilizohusisha internet zilitegemea sana vifaa hivyo. Lakini kwa sasa hivi wamelenga sana watumiaji smartphone na kwa mujibu wa mtandao wa Statista watu zaidi ya Bilion...
  5. jay pelle

    Umuhimu wa video kwenye biashara yako

    [emoji106] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. jay pelle

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    A book of One thousand nights and a night (1001 nights).. it's a collection of more than one thousand popular stories and unpopular
  7. jay pelle

    Msaada (Cosmetics wholesalers)

    Blessed sana mkuu umenifungua!.
  8. jay pelle

    Msaada (Cosmetics wholesalers)

    Naomba kujua kwa Dar ni maduka gani naweza kupata Vipodozi aina zote kwa bei ya jumla.? Ikiwezekana naomba majina ya maduka na eneo liliopo & details zozote unazoona zinaweza kunisaidia kama uzi uavyojieleza. Nawasilisha kwenu [emoji120][emoji120]
  9. jay pelle

    Kama unaingiza faida ya Tsh. 30,000 na kuendelea kwa siku pita hapa

    Hii inataka ngapi mkuu na ni aina gan??? Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
  10. jay pelle

    Samsung A50 nikipiga au kupigiwa inaji restart naomba msaada

    [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
  11. jay pelle

    Samsung A50 nikipiga au kupigiwa inaji restart naomba msaada

    Me natumia gallax A50 tokamwaka jana mwez wa saba cjawahi kukutano na hayo matatzo.. natumia latest Android version na huwa naupdate security patch kila zinapotoka unachotakiwa kufanya ni ku Update System software alaf urudi utupe majibu kma bado inasumbua..
  12. jay pelle

    Faida ya nchi kuwa katika uchumi wa kati ni nini?

    Dah hili swali zuri wacha tuone majibu yake hata me nimejiuliza xn hii kitu
  13. jay pelle

    Msaada biashara ya kuuza na kunua bia kwa bei ya jumla

    Jaman kwa mweny kujua juu ya biashara ya kununua bia company ya BALIMI na kuuza huwa ikoje na unapataje mzigo na kwa bei gan msaada plz kwa mweny kujua
  14. jay pelle

    Ni vigezo vipi vinahitajika kuwa agent wa Nyanza bottlers

    Hivi jamaa wa Nyanza bottles sifa zipi wanahitaj kwa mtu anayetaka kusupply soda as an agent for instance am in Serengeti and i wana be an agent then what i got to prepare also i need to knw much maximum and minimum capital or how many crates of soda ambazo wanahitaji for me to buy #AnybodyWhoKnows
Back
Top Bottom