Faida ya nchi kuwa katika uchumi wa kati ni nini?

Tripitaka

Senior Member
Nov 30, 2019
166
302
Habari wakuu!

World Bank wametangaza kua Tanzania kwa sasa ni nchi ya uchumi wa kati, sasa kutokana na taarifa hii sisi kama wananchi taarifa hiyo inaweza kuwa na faida gani kwetu kiuchumi (kwa mtu mmoja mmoja) ?

Na je, sisi kama vijana tunaweza kufanya nini cha kutusaidia kujikwamua kiuchumi kutokana na taarifa hii?
 
Faida take in kuwa licha ya Rwanda Na kagame kujimwmbaafai kuwa wametengeneza sijui drone sijui wana pesa sijui ni mini vile lakini bado in nchi masikini ya kutupwa. Kongole Tanzania.
 
Faida yake ni kwa kina mataga tuuuu...wanaitumia taarifa kuwadanganya watanzania ili wapate kula zaidi...maana unaponiambia uchumi wa kati kwa mapambio then huku kijijini hatuoni hiyo faida ...maana matatizo yanazidi..badala ya kupungua....SITAKUELEWA...
 
Unapozungumzia nchi kuwa katika uchumi wa kati then inatakiwa 80% ya wanachi wanatakiwa kuwa na kipato ambacho wakitumia 50% ya hicho kipato basi 80% ya matizo yao yawe yamesolviwa. Na hiyo 50% inayobaki itumike kama akiba.

Sasa unapokuwa na inchi ambayo 100% ya mshahara inasolve 10% ya matatizo hapo unakuwaje na uchumi wa kati?!

Ni upumbavu tu. Hii inchi ni ya watu mafukara wa kipato.

.
 
Unapozungumzia nchi kuwa katika uchumi wa kati then inatakiwa 80% ya wanachi wanatakiwa kuwa na kipato ambacho wakitumia 50% ya hicho kipato basi 80% ya matizo yao yawe yamesolviwa. Na hiyo 50% inayobaki itumike kama akiba.

Sasa unapokuwa na inchi ambayo 100% ya mshahara inasolve 10% ya matatizo hapo unakuwaje na uchumi wa kati?!

Ni upumbavu tu. Hii inchi ni ya watu mafukara wa kipato.

.
Kwa hiyo mkuu walioipandisha hadi uchumi wa kati walitumia vigezo gani labda
 
Ni nchi ambayo uchumi unakua audumai kama Pier Liquid alivyo dumaa,akipelekwa kuandikishwa la kwanza walimu ni ngumu kushtuka kama haka katoto ni kazee.
 
faida take in kuwa licha ya Rwanda Na kagame kujimwmbaafai kuwa wametengeneza sijui drone sijui wana pesa sijui ni mini vile lakini bado in nchi masikini ya kutupwa..kongole Tanzania
daah watanzania mna maneno
 
Faida yake ni kwa kina mataga tuuuu...wanaitumia taarifa kuwadanganya watanzania ili wapate kula zaidi...maana unaponiambia uchumi wa kati kwa mapambio then huku kijijini hatuoni hiyo faida ...maana matatizo yanazidi..badala ya kupungua....SITAKUELEWA...
Mkuu haiangaliii uchumi wako binafsi au wa Kijiji chako....wanachukua pato la nchi kwa mwaka wanagawanya kwa idadi ya wananchi!!....vitu vingine wanaangalia n miradi gan nchi inaitekeleza !!

Source::88.1 fm
 
Unapozungumzia nchi kuwa katika uchumi wa kati then inatakiwa 80% ya wanachi wanatakiwa kuwa na kipato ambacho wakitumia 50% ya hicho kipato basi 80% ya matizo yao yawe yamesolviwa. Na hiyo 50% inayobaki itumike kama akiba.

Sasa unapokuwa na inchi ambayo 100% ya mshahara inasolve 10% ya matatizo hapo unakuwaje na uchumi wa kati?!

Ni upumbavu tu. Hii inchi ni ya watu mafukara wa kipato.

.
Kenya iko kipato Cha Kati unafikir wanatimiza hicho kigezo chako mkuu...?
Zambia,Botswana,Cameroon nazo unafikiri wako huko kama hujaenda Zambia pitia tunduma
 
Bangi mbichi.Hakuna kitu cha kukua hapa it's a political agenda.Haina uhalisia wowote.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Walitumia number FAKE toka Ikulu na BOT zinazoonyesha eti tangu 2015 viwanda 8,477 vimejengwa Nchini na ajira zaidi ya 6 millions zimeanzishwa wakati si kweli.

Kwa hiyo mkuu walioipandisha hadi uchumi wa kati walitumia vigezo gani labda
 
Kwa hiyo mkuu walioipandisha hadi uchumi wa kati walitumia vigezo gani labda
Hilo ndilo la kustaajabisha. Unajua katika kupima level ya maendeleo kuna namna tofauti. Wapo ambao hupima shughuli za ukuaji wa miundombinu kama barabara, reli, viwanja vya ndege, bandari, majingo ya kutolea huduma mfano hospitali, mashule, na maofisi, na kadhalika.... Hii inaweza kuiweka nchi katika daraja aidha la nne, tatu, pili au moja kutokana na namna wanawekeza pesa yao au thamani ya mtaji katika hizo miundo mbinu.

Lakini pia kuna namna wanakadiria level ya uchumi kwa kupima kipato cha wastani. Mfano wanachukua kiwango cha pato la jumla la taifa wanagawanya kwa idadi ya nguvu kazi wanapata kipato cha wastani ambacho ndicho hutumika kukadiria pato la mtu kwa wastani na kusema ana uwezo ama la. kimsingi hii me sikubaliani nayo sababu tunaweza katika watu 100,utajiri umeshikwa na watu watano tu sisi wengine tunaganga njaa tu.... Hapo huwezi sema tumefaidika....
 
Back
Top Bottom