Tripitaka
Senior Member
- Nov 30, 2019
- 166
- 302
Habari wakuu!
World Bank wametangaza kua Tanzania kwa sasa ni nchi ya uchumi wa kati, sasa kutokana na taarifa hii sisi kama wananchi taarifa hiyo inaweza kuwa na faida gani kwetu kiuchumi (kwa mtu mmoja mmoja) ?
Na je, sisi kama vijana tunaweza kufanya nini cha kutusaidia kujikwamua kiuchumi kutokana na taarifa hii?
World Bank wametangaza kua Tanzania kwa sasa ni nchi ya uchumi wa kati, sasa kutokana na taarifa hii sisi kama wananchi taarifa hiyo inaweza kuwa na faida gani kwetu kiuchumi (kwa mtu mmoja mmoja) ?
Na je, sisi kama vijana tunaweza kufanya nini cha kutusaidia kujikwamua kiuchumi kutokana na taarifa hii?