Recent content by Jay Msimamo tz

  1. Jay Msimamo tz

    Rais Magufuli aamuru Ney wa Mitego aachiwe huru na wimbo wake upigwe vituo vyote redio na TV

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi hilo. Waziri Mwakyembe ameishauri pia BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo huo, na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo...
  2. Jay Msimamo tz

    Kwa Tabia Hii UTAZEEKEA Nyumbani

    Haa kumbe wapo hum eeeh basi wata komaa
  3. Jay Msimamo tz

    Kwa Tabia Hii UTAZEEKEA Nyumbani

    Kiukwel hakuna mwanaume Anapendezwa na tabia moja wapo nlizotaja hapo juu
  4. Jay Msimamo tz

    Natafuta mpenzi

    Hakikisha na wewe una kazi rasmi yakukuingizia pesa
  5. Jay Msimamo tz

    Kwa Tabia Hii UTAZEEKEA Nyumbani

    KUOLEWA NI NDOTO KUU YA KILA MWANAMKE ALIYEKAMILIKA ILA KAMA UNA TABIA HIZI UTAZEEKEA NYUMBANI *1. Tamaa ya utajiri fedha na mali nyingi pasipo kutambua kuwa vitu hutafutwa, hapa wengi hupoteza nyota zao kwa kukataa wengi wenye kipato cha kawaida na kujirahisisha kwa wenye nazo ambao kwa bahati...
  6. Jay Msimamo tz

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Aliyekuwa Waziri wa Habari, Nape Nnauye amezungumza na Waandishi wa habari akiwa juu ya gari lake leo maeneo ya St. Peter Osterbay Dar es salaam ikiwa ni saa chache kabla ya taarifa kutoka IKULU kutangaza kwamba uteuzi wake umetenguliwa. Hali hiyo imetokana na Jeshi la Polisi kuuzuia mkutano...
  7. Jay Msimamo tz

    Mh.Nape Nnauye Akunusha Hajakamatwa.

    Nanukuuu "Wanasamba habari Nimekamatwa! Niko njiani nakwenda Protea, Niko salama nimetoka Arusha na ndege huu! Nashauri WAACHE UONGO, WATULIE! Kutoka kwenye Ukurasa wake wa tweeter @Nnauye_Nape
  8. Jay Msimamo tz

    Wabunge, Ili kushinda vita hii kirahisi muanze na huyu naibu spika

    HAkika bunge linaitaji utekelezaji huo kwanza kwa kumuanza Naibu Spika[emoji122]
  9. Jay Msimamo tz

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    Kwa Hali hii inayoendelea Kwa sisi wananchi wa chini hatuna kauli tena, kama viongozi tu ndo ivo.....Sisi Kwa hii hali ni Kununua Malimao na ndimu tule kwa wingi Ili kupunguza tu Kichefuchefu[emoji30][emoji97]
  10. Jay Msimamo tz

    Nini furaha ya mwanamke katika ndoa?

    Upendo wa Dhati kutoka kwa mwanaume wake hiyo ndio furaha nafaraja kwa. Mwanamke
  11. Jay Msimamo tz

    Arsenal Ni Ugonjwa wa Moyo

    Kuna daladala nimepanda dereva amevaa jezi ya Arsenal. Imebidii nishuke sababu najua hatutafika mbali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  12. Jay Msimamo tz

    Jenerali Ulimwengu ashauri Makonda ashitakiwe kwa kuvamia kituo cha Clouds

    Mungu Atusaidie TANZANIA yetu Hatujui Inaelekea Wapi[emoji17]
Back
Top Bottom