ww king gani?kingdom or empire gani unamiliki?umri wote huo ndo unatafta ucelebrity ulikuw wap?huu ni mda wakupokea mafao ww ndo kwanzaaaa upo kweny stage yakukua...
Mke wangu anafanya kazi kwa bidii na anajua sana kutafuta Pesa kihalali kabisa.
Hivi mwamke kama huyo anastahili Zawadi gani kama kichocheo ili aendeleze juhudi katika jitihada zake.
hivi ww Le mutuz wenzako ndan ya ccm wanandoto yakuwa viongoz wakubwa kweny this nation ww unaprogress kujisifia kisa Lembululaz kaapia kweny coce..??!!ss cc machalii unatufunza nn mkuuuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.