Wakuu Habari za Jioni Now Nimekuja na Biashara Nyingine Tena, Hii ni kwa wale Ambao wana hitaji Facebook Fans Page (Page ya Facebook) Ninazo 5 Tu na zote zina Likes Kuanzia 4500 Mpaka 5100 na Ukiweka Oda Unaipata Ndani ya 24 Hours, bei sawa na Bure kabisa Mi nauza Elfu Ishirini Tu. (20,000/=)...
Progamu za kupakua au kudownload zimekua nyingi sana siku hizi lakini watu wengi kwa sasa wanatumia programu ya IDM au Internet Download Manager kushusha vitu mbalimbali kwa kutumia Kompyuta zao, lakini tatizo la programu hii ni kwamba unaweza kuitumia bure kwa muda wa siku 30 yani mwezi mmoja...
Jaribu Huone Adsense sasa hivi hawataki mchezo kabisa yaani uki vunja sharti hata moja tu hakuna msamaa hata kama una 10000000 kwenye akaunti, unafungiwa na pesa huzipati unapo pita unakuta adsense kwenye blog za kiswahili hao wame tumia ujanja na ikigundulika unafunguwa, Achana na blog za...
Kuna wakati unataka kufungua page au website yoyote kwa haraka kwenye simu yako lakini unakuta ndo kwanza browser ya simu yako inakuwa slow sana kiasi kwamba unaweza kukata tamaa au gafla simu yako ika-stack au kuzima na pangine kurestart kabisa, tatizo hili udhaniwa na watu wengi kuwa...
Habawa JF natafuta Mtaalamu wa kuweza Kunitengenezea Wordpress Themes Pamoja na Mobile Payment System Kwani Nina Site Yangu Ambayo nataka Niifanye Kuwa Ili mtu Ajiunge ni lazima alipie kwanza Ada ya Uwanachama Kila Mwezi sasa nataka sytem nzuri ya payment ili mtu akitaka kujiunga awe analipia...
Kamwe huwezi weka google adsense kwenye blog ya kiswahili cha kufanya hapo futa post zote za kiswahili alafu uwe unachapa habari ya kiingereza yenye maneno zaidi ya 500 kila siku jitahidi kupost hata habri 3 ukimaliza wiki jaribu ku-apply tena google adsense
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.