Habari wadau, nahitaji msaada wa mtu mwenye utaalamu/ufahamu wa kufunga internet point to point, kwa maana kwamba Nina Fiber internet access kwenye ofisi yangu moja point A(Tandale Chama) na ofisi ya pili Iko Point B(Sinza Mugabe) kama 3KM hvi.
Nataka kushare hii fiber connection kwenye ofisi...
Mimi nimejaribu tumia la Azam Eutelsat 7C kwenye smart tv (dtv) nmepata channels zaid ya 40 ingawa nyingi ni za dini na kiarabu, movie nimepata chache mfano lemon tv naona inaonesha movies muda wote.
kabisa mkuu kwa urahisi ungeweza kuchukua ic inayotumika kwenye arduino ambayo ni atmega328 na vifaa vingine kama ir receiver kwa ajili ya kupokea mawimbi ya remote yako, transistors ukazitumia kama switch zako na vinginevyo ili kupata hyo circuit.
Aisee hapo kwenye penalty wameshakula pesa nadhan inafika laki ingawa wanadanganyaga hawana makato lakin ukichukua statement utakuta kuna makato yasiyoeleweka
Nashukuru wote kwa msaada , nme solder upya linear regulator(L7812cv) ilikuwa imelegea nmebadili na input auxiliary cable , now mdundo kama kawa
Long live the Internet, long live JamiiForum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.