Hata mimi nawasubiri wataalamu waje wanipe bei elekezi ya hivi vifungashio(hasa bei za jumla au za viwandani),maana nafahamu kwa bei ya rejareja pale kariakoo ni kati ya shs 200-275 kutegemeana na duka unalonunulia,nakumbuka uvivu wangu wa kuzungukia maduka tofauti ulinicost siku ya kwanza...
Hata mimi nawasubiri wataalamu waje wanipe bei elekezi ya hivi vifungashio(hasa bei za jumla au za viwandani),maana nafahamu kwa bei ya rejareja pale kariakoo ni kati ya shs 200-275 kutegemeana na duka unalonunulia,nakumbuka uvivu wangu wa kuzungukia maduka tofauti ulinicost siku ya kwanza...
Jamani naomba anaefahamu wapi wanatengeneza vifungashio kama hivi anielekeze,namaanisha kiwandani kwa anaefahamu please!
Maana kununua kwa rejareja kariakoo inaumiza kwa kweli,naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.