Acha kung'ata maneno ,je kwaualisia je mtu ambaye hana ajira nae akubaliene na huo usemi ? Coz tukichukulia kazi kwa wigo mfinyu m2 anaye zurura mitaani naye atasema kafanya kazi ya kuzurura.
Duh! Hapa 2shapigwa changa la macho ,kama na mkolon alkopa, awam 3 zote azkufanikiwa kulipa alafu awamu ya 4 ambayo ndo imekuza den mara dufu ,inasema imelipa nihatari .
Nadhan na ww pia unaelimu ya kuunga unga badala hiyo elimu itolew kwa manufaa ya vijana wote wa kitanzani aliye na asiye na chama ww eti unafurahia hii ni hatari "watanzania 2naangamia kwa kukosa maarifa"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.