Recent content by JaxenDL

  1. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Well said mkuu, ata hiyo ajenda ya “No reforms, No election “ imeanza wakati wa Freeman. Freeman alitokea kwenye uzinduzi wa bwawa, pia uzinduzi wa dira ya taifa (dira ya CCM). Wakati ajenda aliyoacha inatumika kumkandamiza mwenyekiti mahakamani.
  2. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Brain food 😊😊. Apo unapumzika vizuri sasa. be
  3. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Napinga kuenguliwa kwa threads za Manyanza Nitatoa ushahidi wangu, Ref; kulikua na mjadala unahusu unexpected sex, baadae pia rikiboy alikuja akaanzisha mjadala wa kula tunda kimasihara. Kwasababu mada zilikua zinafanana thread zikaunganishwa, lakini owner wa mjadala akapewa rikiboy kutokana...
  4. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Huyu Golugwa amenyooka kama ruler
  5. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Mchina Zheng Xiangming ateuliwa kuwa Chifu nchini Ghana wa kutoa fursa za ajira

    . haya mambo Tanzania Tulianza kitambo https://www.jamiiforums.com/threads/mwanamziki-wa-marekani-shaggy-awa-chifu-wa-wasukuma.314003/
  6. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Kumbe neno Mtibeli au Tibeli sio neno rasmi kwenye lugha ya Kiswahili?

    Hamjambo ndigu zangu Watibeli 😁 !
  7. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Nilichambua the best nyingine nikaacha uko . Nikija Dara ntakuletea
  8. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Hao wanaolima uko mashambani wanauza bei rahisi sana na wanafanya kama side hustle sio kwamba wanapata pesa sana. Kuna mahali nilienda matembezi tukafika kwenye mashamba vijijini uko. Nikapewa sado nzima kwa 30k 😂😂
  9. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Vijana wa Lymo wako rada. 😂😂 ukiwa mvutaji/mtumiaji tu consequences yako na serikali ni ndogo sana
  10. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Hizi Dawa sio zangu ni za Kulevya 🥹🥹.. Kuna mmoja alikua anajitetea ivi
  11. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Hii inanikera sana. Lakn tutafikia huko system yetu inachelewa kuendana na mabadiliko. All in all we are 3rd word 😒🤦🏾‍♂️
  12. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Kwa Dar au chuga ? 😁
  13. JaxenDL

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    NNdoto zangu ni kuleta mapinduzi kwenye hii sekta. hii kitu ni treasure ndo maana mfumo unataka iwe under control. Ila tatizo mfumo wetu haukui sasa.
Back
Top Bottom