Recent content by JaxenDL

  1. JaxenDL

    Kilio cha Kigwangala

    Umenikumbusha story moja 2018 uncle aliniita msalato nikapige nyama. Kufika nikakuta vijana wengine na crew ya wazee wa heshima. Nikatambulishwa among them alikuepo marehemu Dr Chacha. Aliwahi kushika nyadhifa ya uwaziri na that time namjua alikua ameshatumbuliwa uwaziri akawa lecture pale...
  2. JaxenDL

    Haji Manara kaacha ndara (ndala) mbele ya John Heche

    Weka hoja yako. Gentlemen.
  3. JaxenDL

    Ni kipi unachomkumbukia ex wako?

    saivi mguu mmoja ndani, mwingine nje.. sizami wote 😂
  4. JaxenDL

    Ni kipi unachomkumbukia ex wako?

    But you only need the light, When it's burning low,,,, Only miss the sun When it starts to snow,,, Only know you love her when you let her go… Ngoja niishie hapa nisije nikalia 🥹😂
  5. JaxenDL

    Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    anapiga picha uyo mkuu 😂😂. huoni make up iyo, mkulima haweki makeup afu anaingie shamba.
  6. JaxenDL

    Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    huyo ni Digita creator … apo kazi anayofanya ni kutengeneza viewers 😂. Uzuri saivi mitandao inalipa. She isn’t a real famer . I mean a farmer 😂😂
  7. JaxenDL

    Mbunge Seleman Kokoso: Serikali iongeze tozo kwenye mawasiliano ya simu ili kusaidia kujenga barabara

    Kakosa anataka tukose hata pesa ya kula. Waheshimiwa wanahudumiwa na serikali 100% vitu kama hivi wanaona vya kawaida lakini vinatuumiza wananchi sana
  8. JaxenDL

    My personal Top 10 list ya movie za kusikitisha nilizobahatika kuona

    -Beast of no nation -Adu
  9. JaxenDL

    Nipeni huu wimbo ukiwa kamili tafadhali!

    https://www.shazam.com/track/871222998/%E0%A4%A4-%E0%A4%AF%E0%A4%B9-%E0%A4%9B-%E0%A4%A1-%E0%A4%AA-%E0%A4%B0-%E0%A4%AF#%7B%22title%22:%22%E0%A4%A4%E0%A5%8D%E0%A4%AF%E0%A4%B9%E0%A5%80%E0%A4%81%20%E0%A4%9B%E0%A5%8B%E0%A4%A1%20%E0%A4%AA%E0%A5%8D%E0%A4%B0%E0%A4%BF%E0%A4%AF%E0%A5%87%22,%22artist%22:%22...
  10. JaxenDL

    Naomba jina zuri Kwa ajili ya mbwa wangu

    Ukipeleka uko mwbwa wako anaweza fall mazima akahamia kwa Ngara 😂
  11. JaxenDL

    Naomba jina zuri Kwa ajili ya mbwa wangu

    Muite “Kazi na Utu” wezi wakija anareact kama serikali October 29.
  12. JaxenDL

    Naomba jina zuri Kwa ajili ya mbwa wangu

    Akimuita Mwashambwa atakua na pigo za kichawa, akipewa kipande cha mnofu tu ana msaliti bosi
  13. JaxenDL

    Msisitizo! Hakuna kipaji (inborn ability), mtu huwa na uwezo wa kitu fulani baada ya kuzaliwa

    Kila mtu ana uwezo lakn passion ndo inaleta matokeo chanya mfano viongozi wetu wana passion ya ufisadi ndo maana hawachoki kuiba, wanabuni mbinu mpya za upigaji, wanatunga uongo uongo, adi kufisadi uhai wa raia wake na bado hawachoki.
  14. JaxenDL

    Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Heshima Nigeria kwa mchango wake kwa Jamii na Ubinadamu

    Hatutaki shahada yake. Tunataka katiba mpya 😎
Back
Top Bottom