Umenikumbusha story moja
2018 uncle aliniita msalato nikapige nyama. Kufika nikakuta vijana wengine na crew ya wazee wa heshima. Nikatambulishwa among them alikuepo marehemu Dr Chacha. Aliwahi kushika nyadhifa ya uwaziri na that time namjua alikua ameshatumbuliwa uwaziri akawa lecture pale...
But you only need the light,
When it's burning low,,,,
Only miss the sun
When it starts to snow,,,
Only know you love her when you let her go…
Ngoja niishie hapa nisije nikalia 🥹😂
Kila mtu ana uwezo lakn passion ndo inaleta matokeo chanya
mfano viongozi wetu wana passion ya ufisadi ndo maana hawachoki kuiba, wanabuni mbinu mpya za upigaji, wanatunga uongo uongo, adi kufisadi uhai wa raia wake na bado hawachoki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.