Well said mkuu, ata hiyo ajenda ya “No reforms, No election “ imeanza wakati wa Freeman.
Freeman alitokea kwenye uzinduzi wa bwawa, pia uzinduzi wa dira ya taifa (dira ya CCM). Wakati ajenda aliyoacha inatumika kumkandamiza mwenyekiti mahakamani.
Napinga kuenguliwa kwa threads za Manyanza
Nitatoa ushahidi wangu,
Ref; kulikua na mjadala unahusu unexpected sex, baadae pia rikiboy alikuja akaanzisha mjadala wa kula tunda kimasihara.
Kwasababu mada zilikua zinafanana thread zikaunganishwa, lakini owner wa mjadala akapewa rikiboy kutokana...
Hao wanaolima uko mashambani wanauza bei rahisi sana na wanafanya kama side hustle sio kwamba wanapata pesa sana.
Kuna mahali nilienda matembezi tukafika kwenye mashamba vijijini uko. Nikapewa sado nzima kwa 30k 😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.