Msaada nimejaza sehemu zote ila inaishia 54% nimekosea wapi? Nime-upload barua ya kuomba kazi na cheti cha chuo, vyeti vingine na CV na-upload wapi? Nawezaje kufikisha 70%? Msaada waungwanga. Nimedata, kweli tehama ni kazi kwa mimi kayumba
blessed lenny naomba msaada, nimejaza kila mandatory field na field nyingine zote. Nadhani kwenye vyeti ndio nimebugi, kwani nime upload vitu viwili University Certificate na Application letter tu. Na mzigo umefika 54%, inakataa ku-priview wala ku-apply. Sijui nakosea wapi. Duh tehama majanga...
Hivi huyu mzee akiwa raisi mtaweka wapi macho yenu? Hit hard while u can...subiri aki-strike usije lia lia kama yule aliyehonga million 50 ipsos wamuweke number 1 wakati hauziki hata kwa ndimu...mwingine kawatia mfukoni Push Observer yeye na Prof waonekane wana kubalika. EL anawakosesha...
Fallacy... Ushahidi uko wapi? Lizaboni una chuki na mzee wa watu kuna siku utasema ndie huwatuma watu wakamate albino. Kuwa mkweli na kweli itakuweka huru siku zote, huyu mzee amekukosea nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.