Recent content by Jasama

  1. J

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kozi gani nisome nikiwa na mpango wa kusoma shahada

    Soma bachelor of Education in Arts
  2. J

    JamiiForums Tanzania Uhamisho wa course

    Nasikia NACTE wamezuia uhamisho wa kozi za afya kwa wanafunzi wapya mwaka wa masomo 2022/2023 eti hadi uwe umesoma semester moja au mwaka kwa wanaoendelea tu. Eti tatizo au mantiki yao ni nini ya kuzuia transfer ya kozi kwa mwaka wa kwanza?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Programme transfer, NACTE

    Hivi dirisha la kuhama kozi kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza lipo tayari au bado!? Na kama bado litakuwa wazi lini?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Msaada wa malazi Moshi

    Nenda ushirika wa neema au maeneo ya karibu na vyuo. Chumba single maeneo ya karibu na chuo ambacho sio self ni kuanzia 40000 hadi 50000. Chumba self ni kuanzia 60 hadi 100,000 inategemeana na ukubwa na uzuri wa chumba. Ila nje kidogo ya maeneo ya chuo unaweza kupata hata kwa 30,000 single...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kuhusu udahili wa kozi za afya awamu ya pili 2021/2022

    Vyuo vya serikali vilishajaa. Omba vyuo binafsi kupitia website zao wenyewe na wala sio NACTE. NACTE wenyewe watakuja kupokea majina ya waliochavuliwa na vyuo baadae kwa ajili ya uhakiki wa sifa za kujiunga na kozi husika utakayokuwa umechaguliwa nayo. Na wao ndio wata-verify/approve chaguzi...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Udahili wa NACTE Septemba intake 2021/2022

    Habari zenu wadau! Jamani hivi meseji zinazotumwa na NACTE kwa waombaji wote ambao majina yao yalipelekwa na vyuo NACTE kwa ajili ya uhakiki wa sifa za kujiunga na vyuo, mbona mimi sijapata siku ya pili sasa toka wametoa taarifa ya matokeo ya uhakiki au inakuwaje wadau?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry?

    Sawa nimekuelewa mkuu!
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mnaoomba Vyuo vya Afya muwe makini hasa vya 'Private'. Wenzenu wa Muyoge wanalia

    Chuo cha Mvumi vipi wako vizuri au ni ubabaishaji ule ule?
  9. J

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Hivi inakuwaje endapo kama vyuo vya private vimekosa wanafunzi wa kutosha ila katika maombi kuna wanafunzi waliopeleza baadhi ya sifa za kujiunga na programu hiyo. Je NACTE/TCU huwa wanalegeza sifa ili vyuo angalau vipate watu?
  10. J

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry?

    Wao wamemchagua na taarifa zake tayari zimedhibitishwa na NACTE kuwa zimepokewa kwa ajili ya udahili, kwa hiyo kilichobakia ni kusubiri majibu ya NACTE, hata wao wamesema masuala ya kujiunga rasmi hadi uhakiki uishe ndo watapata taarifa zaidi. Inshu ni kwamba inawezekana akawa verified na NACTE...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry?

    Kuna dogo kataarifiwa na chuo fulani kuwa kachaguliwa kujiunga na chuo hicho kwa programu hiyo ya Optometry na taarifa zake zimepelekwa NACTE kwa ajili ya uhakiki. Ila baada ya kufuatilia vizuri kwenye Admission Guide book, hiyo programu ina demand ya Physics, Chemistry, Biology na B/Mathematics...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry?

    I mean Certificate na Diploma
  13. J

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry?

    Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry hata kwa chuo cha private? O'level Physics- D Chemistry- D Biology- C English- C B/Maths- F Advance Geog- "B" Chemistry- C Biology- "B" BAM- F Na ikitokea kwa mfano chuo kikakutaarifu umechaguliwa kujiunga katika chuo husika ila...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Tuliosoma shule za Vipaji Maalum tukutane hapa...

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom