,
Hakuna anaewadhalilisha,,tunaongea fact,,huwezi kuihusisha moja kwa moja serikali na matukio ya uhalifu,,jamii inao wajibu wa kuisaidia serikali na vyombo vya dola kufichua wahalifu kwani tuko nao katika jamii,kuna mifano nimetoa hapo juu ya matukio ya vifo vya watu ambavyo mwisho wa siku...