Recent content by jaqkzy3090

  1. J

    Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

    Mtaji ni shiling ngapi mpaka kufunga limashine lile kama ukitaka kuanzisha sheli ya mafuta ya taa tu
  2. J

    Samsung note 2 na LG3 cat6 kwa bei chee

    Nauza samsung note 2, LG3 cat6 na LG prada. Simu zote ni original made from Korea. Note 2-380,000Tsh LG3- 400,000Tsh LG prada- 350,000Tsh Nicheki PM
  3. J

    Projector mpya inauzwa 380,000Tsh

    Projector aina ya TOSHIBA inauzwa kwa 380,000Tsh tu. Ni mpya iko na remote yake na case. For serious buyers only. Nicheck PM
  4. J

    Je Computer/Laptop yako ina shida yoyote? wasiliana nasi upate suluhisho sasa.

    Mnayo keyboard ya acer aspire one D255? Nataka mnibadilishie imekufa
  5. J

    Brand new Samsung J5 for sale

    Nauza LG 3 original kwa tsh 350000, samsung galaxy alpha kwa tsh laki 4, Note 2 kwa lak 3 na nusu na LG prada kwa laki 3. Simu zote ni original
  6. J

    LG inakataa kusupport huduma za m pesa na tigo pesa

    Wakuu habari za humu. Naomba msaada kwa yeyote atakayeweza kufungua simu yangu aina ya LG iweze kusupport huduma za tigo pesa na m pesa. Shukurani kwenu
  7. J

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nauza samsung galaxy note 2,3 na alpha. Pia ninazo LG3. Simu zote ni mpya na ni orijino line moja. Bei Note 2- 450,000 Note3- 550,000 Samsung galaxy alpha- 600,000 LG3- 550,000 Napatikana Dodoma. Morogoro na Dar unaweza kuzipata pia kwa makubaliano Serious buyers niPM
  8. J

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Wakuu kwa anayetaka kuja korea ya kusini (South Korea) aje inbox tufanye mambo. Nina nafasi 4 tu. Njoo inbox tuongee
Back
Top Bottom