Recent content by Japokuwa

  1. Japokuwa

    Hii ndiyo siri GSM kujiondoa katika udhamini ligi kuu, Simba inahusika

    Naona amejisahau Wahuni wanasema ukimwaga mboga twamwaga ugali
  2. Japokuwa

    Hii ndiyo siri GSM kujiondoa katika udhamini ligi kuu, Simba inahusika

    Waache ubabaifu hao wameona ubahili kugawa Hela Kwa vilabu shiriki
  3. Japokuwa

    KAMA UNAHITAJI FUNDI MZURI NA MWAMINIFU

    Huyu jamaa anaitwa Exaud Molla yupo kigamboni asee huyu jomba ni hatari Kwa mageti,madirisha na parking za gari Ana mtaji wa kutosha hizo ni baadhi ya kazi zake nimeona nishee nanyi
  4. Japokuwa

    "Mama anaupiga Mwingi" Hivi bado inasikika

    Katiba mpya katiba mpya
  5. Japokuwa

    Ujenzi wa daraja

    Kwa hiyo hivyo kazi yake ni kupima uwezo wa daraja?
  6. Japokuwa

    Ujenzi wa daraja

    Kwa hiyo kazi yake ni kupima uwezo wa daraja au
  7. Japokuwa

    Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

    Tuombe kuwe na katiba mpya ile aliyoandaa warioba naamini itasaidia Sana kuanzua katika vyama vya siasa,uchaguzi na hata ndani ya utawala
  8. Japokuwa

    Ujenzi wa daraja

    Wadau naomba kujua kazi ya hii mifuko huko juu ya daraja maana kunawakati niliona ikiwa mingi Sana imetapakaa daraja lote Ajabu ni kwamba kwa Sasa ipo michache upande mmoja lakini ukijaribu kuanga lia kwa umakini huko juu huoni kilicho ongezeka Kuna wakati nilihisi ndio kokoto zinapandishwa...
  9. Japokuwa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    HIVI KILICHO WAFANYA MKATE UMEME LEO 4/04/2021 PASAKA HII NI NINI MBONA MNA MAMBO YA HOVYO HIVYO MNATAKA WOTE TUWE NA HUZUNI KILAZIMA HII LAINI YA mongola dege /gongolamboto
  10. Japokuwa

    Pale Bungeni simuoni Mbunge wa kuichambua ripoti ya CAG baada ya kukosekana Zitto Kabwe na wabunge wa CHADEMA

    Kazi ipo waache wapalagane wenyewe mwaka huu tutazidi kujua viazi na ndizi
  11. Japokuwa

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa

    Dah! Mtatuuwa maana kila kitu hakifai Ngoja nikaishi porini
  12. Japokuwa

    Baada ya Wasafi tv kufungiwa, wafanyakazi wake kusitishiwa mishahara?

    Hapa inategemea mikataba waliyo ingia Kati ya mwajiri na mwajiriwa ukirejea katika mkataba wa ajiri utajua wanapaswa kulipwa au la Mikataba ya wafanya kazi inatofautiana Kati ya makampuni hivyo kulipwa ama la tumsubiri bosi wa wasafi aje kutujibu Sent from my Infinix X687 using JamiiForums...
  13. Japokuwa

    Je, waijua kanuni ya Vilfred Pareto '80/20 Rule'?

    Nitarudia mara kadhaa hii thered nizidi kujifunza
  14. Japokuwa

    Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

    Waza kabla ya kuongea Sasa hivi serikali inasomesha watoto bure shule za msingi na sekondari je? Serikali ndio iliowazaa hao watoto?
Back
Top Bottom