Wewe ulitegemea nini kuingia kwenye hiyo biashara. Kinacho zaa kinakufa, hiyo ndiyo nitolee wajanja wameshachukua chao. Jua hii mifumo imewekwa na watu wenye akili sana. Wewe mbugilambugila mwenzangu na mie unaingia kichwa kichwa unanyilewa bila kutiwa maji.
Biashara ya viazi ni ngumu sana kwasababu kwanza inategemea na soko la siku hiyo pili usharp wa dalali wako na tatu ubora wa mzigo wako. Kitu cha kwanza unachotakiwa kufanya ni kwenda sokoni na kumpata dalali mwaminifu kitu cha pili nihuyo dalali kukupatia contact za wahusika kule viazi...
Kutokana na hukumu ya Jaji mimi nilivyo muelewa wakina halima si wanachama wa Chadema na kamati kuu haikukosea na hata mkutano mkuu haukhaukukosea ila busara ndizo zilizo Muongoza Jaji kwa hiyo hilo ni swala la mda tu sababu CDM hawana tatizo na ubunge wa hakina Halima Mdee wao wanatatizo na...
Kwani CDM wao ni nanani Mpaka uwaandame, mbona ujasema ACT, au CUF? I Kazi ya Chama siyo kutoa misaada kipindi cha Maafa, Chama cha siasa kazi yake nikupambana kushika Dola ilikuwaletea wananchi maisha Bora, Maafa yanatokea ulimwengu mzima umeshawahi kusikia Chama cha siasa kinalaumiwa kwa...
Unadhani hao wote ambao ni wagunduzi wa vitu mbalimbali duniani walifanya vizuri darasani tena wengine walikimbia shule kabisa kupata Ziro kwenye mtihani siyo kuwa mtu hana Akili inategemea amebase upande gani nayeye kaenda upande gani ,kunawatu wamefeli science wakaenda biashara wakafanya...
Katika majeshi bora ya POLISI duniani jeshi letu linashika namba tano kwa uwezo wa hali ya juu wakuchunguza na kuwabaini wahalifu.Itoshe tu kusema yote kwa yote kuna mambo mengine si yakumlaumu mtu ila ni yakukaa kimya tu.
Watu wengi mpaka leo hawajawahi kumuelewa Yuda, kwanini alimuua Yesu. Watu wanadhani Yuda alikuwa na shida ya vipande 30 vya fedha,La hasha hasha Yuda hakua na njaa hiyo hata kidogo. Yuda alikuwa na mipango mingine kabisa zaidi ya vipande Thelathini vya fedha.
Lisu alianza kufuatwa na hawa watu tangu DSM na aliwai kuwashout kwa kumfuata fuata ,pia Tundu Lisu alifahamishwa mapema na Gwajima kuwa usiende Dodoma kama nilivyomnukuu Lema ,kwa hiyo swala la kufuatwa fuatwa nyuma halikuwa jambo geni kwake na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilikuwa...
Maneno aliyo wahi kuyasoma Bashiru hayapaswi kupuuzwa kuwa Chama kilichopo madarakani kisipotumia vizuri dola kubaki madarakani likitoka hakirudi tena kwa hiyo vyombo vya habari vyetu bado vinauo uoga bado.
Hawana chochote hao kazi yao kubwa ilikuwa kununua wapinzani na kuharibu demokrasia na chaguzi.hao wanawekwa kundi moja na wafuasi wa NAZI ambao bado wanaishi wanaweza wakasema nao walikuwa wanashinikizwa ila hawajawahi kuonyesha thamani ya uongozi wao hata kidogo.MAMBO YOTE YA HOVYO YALIYO...
Hayo Ndiyo maneno siasa ni majigambo nakupigana vijembe hakuna ustaarabu kwenye siasa kama umeamua kuingia kwenye sasa unapaswa uwe mvumilivu na mwenye ngozi ngumu kwa hiyo isitegemee kwenye siasa mpinzani wako atakusaidia hata siku moja.Siasa ni Propaganda ,uongo ongeza na chumvi ukweli huwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.