Recent content by JANGALA2

  1. J

    Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

    Utumishi hawana venue binafsi kwa ajili ya kufanyisha watu interview hasa watu wanapokua wengi ndo maana siku za weekend zinatumika maana wanaomba madarasa kutoka sehemu mbalimbali hasa vyuoni ambapo madarasa hutumiwa na wanafunzi Siku za kazi
  2. J

    Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

    Wanaofikili kuonewa ndo uwezo wao umeishia hapo , pole zao wakitaka kujua sababu wawe wanauliza sio kukimbilia kuwa wananyanyaswa
  3. J

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Sahihi lakini haina mashiko sana
  4. J

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Kuna interest na kuna kubweteka ,Walio na interest ya kuwa JKT sio wote kuna walioenda kukwepa changamoto za mtaani na wapo walioenda kwa interest fulani*2
  5. J

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Sio kweli , fanya utafiti punguza fikra binafsi, uhalisia unaongea
  6. J

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Hiyo DP naielewa sana
  7. J

    Ukosefu wa ajira unatokana na kusoma fani zisizokuwa na tija

    Visingizio huwa havikosi lakini angalia logics za mada husika , technical knowledge ni msaada kuliko vyeti vya darasani
  8. J

    Mimi ni binti, natafuta kazi ya uhudumu wa kwenye basi

    Ushauri umeshiba ila washafika hewani Wazee wa connection
  9. J

    Natafuta mke

    Katangaze Kanisani au msikitini
  10. J

    Nahisi baba anataka kugawa urithi bila kunishirikisha. Naombeni msaada

    We nae lafa tu nani kakwambia elimu ni vyeti fikilia kabla ujaandika pumba
  11. J

    Nahisi baba anataka kugawa urithi bila kunishirikisha. Naombeni msaada

    Mengi Inasemekana Alifanya Vile Akiwa karubuniwa sio kwa akili yake ndo maana uliona kesi , Ila kwa Huyu mwamba Mzee wake anaonekana kuwa na akili timamu na ameshaona Jamaa amebweteka anasubili URITHI ,huo ni upuuzi kwanza Kumnyima URITHI Huyu ni sahihi kabisa mi pia ningekua Baba ake asingepata...
  12. J

    Nahisi baba anataka kugawa urithi bila kunishirikisha. Naombeni msaada

    🧠 KUANZA KUPAMBANA KUSUDI UWE SEHEMU YA URITHI TAYALI HILO NI TATIZO KWAKO HUTAKIWI KUWAZA HATA KIDOGO KUHUSU KUPEWA SEHEMU YA MALI YA BABA YAKO NI SAWA NA KUSEMA UNAMUOMBEA KIFO MZEE . 🧠 WE NI MTU MZIMA MPAKA UNAFIKA MIAKA 38 ULIKUA UNASUBILI MZEE AFE UPATE URITHI , PUNGUZA B.NG. 🧠 UNAWEZA ONA...
Back
Top Bottom